Mwenyekiti wa Baraza la Wazee la CHADEMA aliyekamatwa Zanzibar, Hashimu Issa Juma apelekwa Kisutu

Mwenyekiti wa Baraza la Wazee la CHADEMA aliyekamatwa Zanzibar, Hashimu Issa Juma apelekwa Kisutu

Hakuna system inaweza kufanya jambo bila mkuu wao kujua au kupewa taarifa ya operation hiyo na kuiridhia. Hiyo system inaongozwa na watu ambao kwa ukubwa wake ni wateule wa Rais.
Na kama utaicha system ifanye kazi bila kukutaarifu wewe ipo siku watakugambanisha na wananchi uwajibike wewe wakati wao wakila maisha kwa dhulma zao.
Rejea viongozi wengi wa hizi unazoita system walivyowajibishwa baada ya kufanya bila matakwa ya mkubwa wao.
Kwakifupi kila kitu kinachoendelea Samia anakibariki na kama analazimishwa basi ujue hatuna Rais na hii ni hatari kubwa sana.
bado hamuijui hii nchi
 
View attachment 1961683

Hii ndio Taarifa mpya kutoka Chadema kwa sasa , ambapo watu wasiofahamika wakiwa na bunduki wamemchukua Mzee Hashimu Issa nyumbani kwake Unguja na kuondoka naye , tena bila kusema wanampeleka wapi .

Taarifa zaidi zitaendelea kuwajia kwa kadri zitakavyotufikia .

Kama ni kweli ni ujinga kila siku watatokea watu kama hawa na kusema ya moyoni bila woga shika shika haijawahi kusaidia hata kupunguza maneno. Lissu alipigwa risasi lakini watu hawakunyamaza sembuse hizi shikashika
 
bado hamuijui hii nchi
Wewe ndio huijui kabisa, kila mtu unayemsikia au kumuona kuna mtu kamuambia akafanye nini ndio maana Rais akishapata madaraka anaweza fumua kila idara na kuweka mtu wake atakaye submit kwake na kama yupo Rais mjinga kias hicho cha watu kufanya mambo kwa story za system basi huyo ni mjinga.
 
View attachment 1961683

Hii ndio Taarifa mpya kutoka Chadema kwa sasa , ambapo watu wasiofahamika wakiwa na bunduki wamemchukua Mzee Hashimu Issa nyumbani kwake Unguja na kuondoka naye , tena bila kusema wanampeleka wapi .

Taarifa zaidi zitaendelea kuwajia kwa kadri zitakavyotufikia .
Ina maana kosa lake ni kusema tu kuwa IGP Sirroooo, ndiye gaidi no 1 nchini??

Kwani kusema ukweli mchungu, kumekuwa kosa kubwa, Hadi atekwe??😁
 
tunahalarisha ugaidi mana bado tunakwama pahala kila tukikaa kujadili hatupati majibu

Na uarabu wake atatukoma
 
View attachment 1961683

Hii ndio Taarifa mpya kutoka Chadema kwa sasa , ambapo watu wasiofahamika wakiwa na bunduki wamemchukua Mzee Hashimu Issa nyumbani kwake Unguja na kuondoka naye , tena bila kusema wanampeleka wapi .

Taarifa zaidi zitaendelea kuwajia kwa kadri zitakavyotufikia .
Juzi Mama aliforce kuuheshimiwa naona majamaa wanatekeleza
 
View attachment 1961683

Hii ndio Taarifa mpya kutoka Chadema kwa sasa , ambapo watu wasiofahamika wakiwa na bunduki wamemchukua Mzee Hashimu Issa nyumbani kwake Unguja na kuondoka naye , tena bila kusema wanampeleka wapi .

Taarifa zaidi zitaendelea kuwajia kwa kadri zitakavyotufikia .
Ameyataka mwenyewe wacha tuhangaike na tozo zetu.
 
View attachment 1961683

Hii ndio Taarifa mpya kutoka Chadema kwa sasa , ambapo watu wasiofahamika wakiwa na bunduki wamemchukua Mzee Hashimu Issa nyumbani kwake Unguja na kuondoka naye , tena bila kusema wanampeleka wapi .

Taarifa zaidi zitaendelea kuwajia kwa kadri zitakavyotufikia .
Mzee gani asie na adabu, si ajabu na nyie mnakuwa wahuni tu
 
JPM mlikuwa mnamsingizia tu, wengi hamjui kuna kitu kinaitwa SYSTEM, ndio maana lissu alikuwa anadai adui yake JPM, lkn cha ajabu hadi kesho anaogopa kurudi

je JPM bado yupo?

kutekwa kupo tokz enzi za JK NYERERE,mwinyi, mkapa,kikwete

`

..kuna watu wanadai eti system ndio imemuondoa jiwe.
 
View attachment 1961683

Hii ndio Taarifa mpya kutoka Chadema kwa sasa , ambapo watu wasiofahamika wakiwa na bunduki wamemchukua Mzee Hashimu Issa nyumbani kwake Unguja na kuondoka naye , tena bila kusema wanampeleka wapi .

Taarifa zaidi zitaendelea kuwajia kwa kadri zitakavyotufikia .
Unguja, kule kwa Mwinyi, au ipo Unguja nyingine?

Erythro, mbona habari yako ni kama ngumu kuiamini!

Ingekuwa hapa Mikocheni, pasingekuwepo na maswali mengi juu ya habati yako; lakini Unguja, kwa Mwinyi? Huyo mzee atakuwa kafanya jambo gani la ajabu kiasi cha kumfanya Dr Mwinyi atake kuharibu sifa na heshima yake!

Au unataka kueleza kwamba yeye hana lolote la kufanya, anafuata amri tu, atake asitake?
Sidhani kuwa atakubali kudhalilishwa kiasi hicho.
 
Back
Top Bottom