Mwenyekiti wa Baraza la Wazee la CHADEMA aliyekamatwa Zanzibar, Hashimu Issa Juma apelekwa Kisutu

bado hamuijui hii nchi
 

Kama ni kweli ni ujinga kila siku watatokea watu kama hawa na kusema ya moyoni bila woga shika shika haijawahi kusaidia hata kupunguza maneno. Lissu alipigwa risasi lakini watu hawakunyamaza sembuse hizi shikashika
 
bado hamuijui hii nchi
Wewe ndio huijui kabisa, kila mtu unayemsikia au kumuona kuna mtu kamuambia akafanye nini ndio maana Rais akishapata madaraka anaweza fumua kila idara na kuweka mtu wake atakaye submit kwake na kama yupo Rais mjinga kias hicho cha watu kufanya mambo kwa story za system basi huyo ni mjinga.
 
Ina maana kosa lake ni kusema tu kuwa IGP Sirroooo, ndiye gaidi no 1 nchini??

Kwani kusema ukweli mchungu, kumekuwa kosa kubwa, Hadi atekwe??😁
 
tunahalarisha ugaidi mana bado tunakwama pahala kila tukikaa kujadili hatupati majibu

Na uarabu wake atatukoma
 
Juzi Mama aliforce kuuheshimiwa naona majamaa wanatekeleza
 
Ameyataka mwenyewe wacha tuhangaike na tozo zetu.
 
Mzee gani asie na adabu, si ajabu na nyie mnakuwa wahuni tu
 
JPM mlikuwa mnamsingizia tu, wengi hamjui kuna kitu kinaitwa SYSTEM, ndio maana lissu alikuwa anadai adui yake JPM, lkn cha ajabu hadi kesho anaogopa kurudi

je JPM bado yupo?

kutekwa kupo tokz enzi za JK NYERERE,mwinyi, mkapa,kikwete

`

..kuna watu wanadai eti system ndio imemuondoa jiwe.
 
Unguja, kule kwa Mwinyi, au ipo Unguja nyingine?

Erythro, mbona habari yako ni kama ngumu kuiamini!

Ingekuwa hapa Mikocheni, pasingekuwepo na maswali mengi juu ya habati yako; lakini Unguja, kwa Mwinyi? Huyo mzee atakuwa kafanya jambo gani la ajabu kiasi cha kumfanya Dr Mwinyi atake kuharibu sifa na heshima yake!

Au unataka kueleza kwamba yeye hana lolote la kufanya, anafuata amri tu, atake asitake?
Sidhani kuwa atakubali kudhalilishwa kiasi hicho.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…