minyoo
JF-Expert Member
- May 25, 2013
- 22,405
- 21,100
Mzee aachiwe mara moja wakichelewa utitiri wa Albadiri utamiminika kwa wote walioshiriki huo utekaji wa kishetaniYani kwamba system inaamuliwa na wanasiasa?
Kwa mtazamo wangu wewe ndy haujui kuliko huyo unayemkosoa ..mm naona Jackwillpower hoja yake angalau ina mashiko
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app