Mwenyekiti wa BAVICHA Mkoa wa Kilimanjaro akamatwa na Polisi akidaiwa kupiga picha gari la Mkurugenzi wa TISS

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426


Lembrus Mchome anadaiwa kukamatwa na polisi kwa tuhuma za kupiga picha gari la Diwani Athuman akiwa Kwao Mwanga , ambapo gari hiyo imeonekana mitandaoni ikiwa imeegeshwa maeneo ya Mwanga .

Bila shaka kesi hii ikifika mahakamani itavuta hisia za wengi , maana hata kama ni kweli , kupiga picha gari la serikali linalotumiwa na ofisa wa serikali kihalali hatujui adhabu yake itakuwa nini .

#Tuendelee kunawa mikono kwa maji tiririka ili kujikinga na virusi vya Corona
 
Hiyo picha aliipiga kwa lengo gani?
 

Kikubwa hapo wanataka kujua undani kuhusu anayewatesa Kigogo ili wamdake vizuri japo wamesahau kuwa nae ni Kiboko pia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…