Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Je ni kweli yeye ndio alipiga hiyo picha ?Hiyo picha aliipiga kwa lengo gani?
Nadhani tatizo siyo picha , tatizo ni mazingira duni yanayozunguka maeneo gari hiyo imepakiTatizo siyo gari ila vijana wa Bavicha hawaaminiki wanaweza kutumiwa na mabeberu.
Unafanya siasa kwa DG wa TISS?.........huyo bavicha kaingia cha kike!
Subiri huyo mwenyekiti akitoka akiwa na kende moja atakwambia yote yeye alifikiri ni gari la mbunge msukuma lile?Mpaka hiyo gari inapigwa picha at 'a very close range' walinzi wa DG wa TISS walikua wapi?? Au dereva wa DG wa TISS ambaye naye ni mtu wa kitengo alikuwa wapi??? Tuanzie hapa
Sawa mkuungoja niitafute ni gari jeusi nafikiri ni la private sio la serikali
Ashughulikiwe huyo nyumbu maana saa hizi wameanza rafu mbalimbali dhidi ya viongozi wakubwa wa taifaView attachment 1446830
Lembrus Mchome anadaiwa kukamatwa na polisi kwa tuhuma za kupiga picha gari la Diwani Athuman akiwa Kwao Mwanga , ambapo gari hiyo imeonekana mitandaoni ikiwa imeegeshwa maeneo ya Mwanga .
Bila shaka kesi hii ikifika mahakamani itavuta hisia za wengi , maana hata kama ni kweli , kupiga picha gari la serikali linalotumiwa na ofisa wa serikali kihalali hatujui adhabu yake itakuwa nini .
#Tuendelee kunawa mikono kwa maji tiririka ili kujikinga na virusi vya Corona
Alipiga picha akiwa na nia gani?
Ni kweli MkuuSioni ubaya kama mtu amejihami na kuamua kwenda mahali salama so haiwezi kuw habari.
Ila wa Tz this is too much can we sometimes mind our business maana naona tunaanza kuingilia ad privacy za watu mtu kurud kwao sio dhambi wakuu.
Tuache siasa tudeal na vitu vyenye maslai na nchi yetu haya mengin ni makapi tu
DG anaogopa Bavicha?Tatizo siyo gari ila vijana wa Bavicha hawaaminiki wanaweza kutumiwa na mabeberu.
Unafanya siasa kwa DG wa TISS?.........huyo bavicha kaingia cha kike!
Unamkumbuka yule wa Tarime ambaye familia yake ilimfurusha mwenyekiti kwa mawe?DG anaogopa Bavicha?
Unaona sasa kumbe mtu kaenda msibani,ivi bongo kuna sheria ya mtu kuinvade privacy ya mtu?? Na hukumu yake imekaaje??Ni kweli Mkuu
inasemekana huyu jamaa alifiwa na mdogo wake
hivyo alikuwa Msibani, na kwa vile ana usafiri na katika maelekezo yao anaruhusiwa likizo ya msiba na mambo mengine km usafiri na masurufu
Comrade DG anaogopa Bavicha?Unamkumbuka yule wa Tarime ambaye familia yake ilimfurusha mwenyekiti kwa mawe?
Bavicha usiwachukulie poa!
Kwani ndiye aliyepiga picha?Comrade DG anaogopa Bavicha?
Sawa Comrade.Kwani ndiye aliyepiga picha?
Huyo bavicha atashughulikiwa na mwenye wilaya yake DC Thom Apson!