mng'ato
JF-Expert Member
- Oct 27, 2014
- 29,200
- 49,076
Wao viongozi wanaheshimu wananchi?Kapige picha na gari la rais si kachagulowa na wananchi?? Waafrika sijui kwann hatuba utamaduni wa kuheshimu viongozi ...
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wao viongozi wanaheshimu wananchi?Kapige picha na gari la rais si kachagulowa na wananchi?? Waafrika sijui kwann hatuba utamaduni wa kuheshimu viongozi ...
Sent using Jamii Forums mobile app
Then usiwe unalitumia mahali lisipostahili.Sijui Ndugu
View attachment 1446830
Lembrus Mchome anadaiwa kukamatwa na polisi kwa tuhuma za kupiga picha gari la Diwani Athuman akiwa Kwao Mwanga , ambapo gari hiyo imeonekana mitandaoni ikiwa imeegeshwa maeneo ya Mwanga .
Bila shaka kesi hii ikifika mahakamani itavuta hisia za wengi , maana hata kama ni kweli , kupiga picha gari la serikali linalotumiwa na ofisa wa serikali kihalali hatujui adhabu yake itakuwa nini .
#Tuendelee kunawa mikono kwa maji tiririka ili kujikinga na virusi vya Corona
Nitatumia tu mradi sivunji sheria yoyote ya nchi na taratibu tulizojiwekea na utamaduni wetuThen usiwe unalitumia mahali lisipostahili.
Utamaduni wa kudanganya?Nitatumia tu mradi sivunji sheria yoyote ya nchi na taratibu tulizojiwekea na utamaduni wetu
View attachment 1446830
Lembrus Mchome anadaiwa kukamatwa na polisi kwa tuhuma za kupiga picha gari la Diwani Athuman akiwa Kwao Mwanga , ambapo gari hiyo imeonekana mitandaoni ikiwa imeegeshwa maeneo ya Mwanga .
Bila shaka kesi hii ikifika mahakamani itavuta hisia za wengi , maana hata kama ni kweli , kupiga picha gari la serikali linalotumiwa na ofisa wa serikali kihalali hatujui adhabu yake itakuwa nini .
#Tuendelee kunawa mikono kwa maji tiririka ili kujikinga na virusi vya Corona
Kwa persistence yako hapa kuhusu safe house nimegundua hujui kitu...anyway sitaendelea na hoja hiiUtamaduni wa kudanganya?
Aliyepiga ni Nani?Kigogo ndio aliyepost hiyo picha nendeni mkamkamate!
Amesema aliyepiga ni DEREVA wake.Aliyepiga ni Nani?
Kapige picha kambi ya jeshi bila ridhaa yao uone mziki wakeKwani hiyo gari ina siri gani mpaka polisi wanahaha namna hiyo?
Haina shida kwa hiyo alipiga akampa Haina tatizo madereva hujielewa kuliko kawaida mwanzo kabla chumvi haijakolea aweza sema chochote sababuyeye kiongozi mkubwa chadema polisi wakimhoji lazima atakuwa alikalishwa kwenye sofa zuri mbeleni kitaeleweka Happ alihojiwa na receptionist wa polisi!!! Sio makarani wa polisi ambao baadaye humpeleka kwa maofisa wa polisi kwa mahojiano zaidiAmesema aliyepiga ni DEREVA wake.
Ngoja tuone lakini hakuna kesi hapo,wanatafuta tu connection ya kigogo na hao jamaa wa kilimanjaro maana kigogo ametoa hadi taarifa za hotel aliyofikia DIJII WA TEETH.Haina shida kwa hiyo alipiga akampa Haina tatizo madereva hujielewa kuliko kawaida mwanzo kabla chumvi haijakolea aweza sema chochote sababuyeye kiongozi mkubwa chadema polisi wakimhoji lazima atakuwa alikalishwa kwenye sofa zuri mbeleni kitaeleweka Happ alihojiwa na receptionist wa polisi!!! Sio makarani wa polisi ambao baadaye humpeleka kwa maofisa wa polisi kwa mahojiano zaidi
Kesi ipo ila siweki hapa Tena kesi mbaya Sana sitaki ku pre empt lakini huyo sio wa kutoka Leo Wala kesho huyo.mpiga picha .Mambo mengine mabaya ya kujitakia hayahitaji mtu.mwingine aseme pole kwa matatizoNgoja tuone lakini hakuna kesi hapo,wanatafuta tu connection ya kigogo na hao jamaa wa kilimanjaro maana kigogo ametoa hadi taarifa za hotel aliyofikia DIJII WA TEETH.
Anatoka mkuu ngoja Jebra Kambole,John Mallya na Kibatara wakawapige za CHEMBE kwa Pilato.Kesi ipo ila siweki hapa Tena kesi mbaya Sana sitaki ku pre empt lakini huyo sio wa kutoka Leo Wala kesho huyo.mpiga picha
Mbona umeghafilika namna hii?Haina shida kwa hiyo alipiga akampa Haina tatizo madereva hujielewa kuliko kawaida mwanzo kabla chumvi haijakolea aweza sema chochote sababuyeye kiongozi mkubwa chadema polisi wakimhoji lazima atakuwa alikalishwa kwenye sofa zuri mbeleni kitaeleweka Happ alihojiwa na receptionist wa polisi!!! Sio makarani wa polisi ambao baadaye humpeleka kwa maofisa wa polisi kwa mahojiano zaidi
Si mpaka kesi ifike kwa pilato Lema alishinda rumande miezi sita na Ni mbunge na kiongozi wa juu chadema sembuse huyo mpiga picha mjingaAnatoka mkuu ngoja Jebra Kambole,John Mallya na Kibatara wakawapige za CHEMBE kwa Pilato.
Namhurumie kipindi hiki chadema ruzuku hakina atatetewa na Nani hata aende mahakamani na mawakili wa bure hawapo hata Lisu ,kibatala na kambole hutetea kwa kwa kulipwaMbona umeghafilika namna hii?
Umepanic mnoo kuliko hata mke wake.Namhurumie kipindi hiki chadema ruzuku hakina atatetewa na Nani hata aende mahakamani na mawakili wa bure hawapo hata Lisu ,kibatala na kambole hutetea kwa kwa kulipwa
ShuleKama ni kinyume na sheria acha akamatwe na ashtakiwe.
Ila nyinyi mnaodai eti amepiga picha ili akatungie uongo hivyo amekamatwa hilo siyo kosa as huwezi mshtaki mtu kwa kosa ambalo hajafanya bado.
Ok dereva amepiga na yeye akapost...kwa lengo lipi? Ignorance of the law is no defence......asome Penal Code na Act ya Intelligence and Security Service of 1996Amesema aliyepiga ni DEREVA wake.