johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Ni igizo tu, my vote is not my right.Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr. Magufuli amechukua fomu ya kugombea Urais leo asubuhi
Fomu amekabidhiwa na Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Ali Bashiru Jijini Dodoma.
Ni igizo tu, my vote is not my right.
Mwingine nani kachukua?
WAO kumekucha .Mjenga nchi kachukua fomu .Hongera sanaRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr. Magufuli amechukua fomu ya kugombea Urais leo asubuhi
Fomu amekabidhiwa na Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Ali Bashiru Jijini Dodoma.
CCM ina utamaduni wake!Hivi dr shein kwann na yeye asichukue fom ya urais wa JMT
Hivi dr shein kwann na yeye asichukue fom ya urais wa JMT
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr. Magufuli amechukua fomu ya kugombea Urais leo asubuhi
Fomu amekabidhiwa na Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Ali Bashiru Jijini Dodoma.
Hapo Ufipa zipo ngapi?Nasikia fomu yenyewe ilikuwa ni hiyo hiyo tu
Mwingine Nani anachukua form hukoChadema leo hawatalala maduka yote ya panadol dawa za kutuliza maumivu watazinywa sana chadema leo zitaisha pharmacy
Kingine kitakachowahi kwisha ni KONYAGI chadema leo watazinywa kwa frustrations hadi basi.Mbowe leo atakatiza dozi atandike konyagi.JOYCE MUKYA uwe karibu kumwangalia asianguke kuvunjika mguu pale alipovunjika majuzi kati.