Uchaguzi 2020 Mwenyekiti wa CCM, Dkt. John Magufuli achukua fomu ya kugombea Urais wa Tanzania kwa muhula wa pili

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716


Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. John Magufuli amechukua fomu ya kuwania kinyang'anyiro cha Urais katika uchaguzi mkuu wa mwaka huu. Magufuli amekabidhiwa fomu hiyo na Katibu Mkuu wa CCM Taifa, Dkt. Bashiru Ally, Makao Makuu ya CCM, Dodoma.




Maendeleo hayana vyama!
 
Chadema leo hawatalala maduka yote ya panadol dawa za kutuliza maumivu watazinywa sana chadema leo zitaisha pharmacy

Kingine kitakachowahi kwisha ni KONYAGI chadema leo watazinywa kwa frustrations hadi basi.Mbowe leo atakatiza dozi atandike konyagi.JOYCE MUKYA uwe karibu kumwangalia asianguke kuvunjika mguu pale alipovunjika majuzi kati.
 
Mwingine Nani anachukua form huko

Ova

Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…