mama kubwa
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 6,230
- 9,889
Lugola alikosea kumwita Yesu Magu hakufurahia , anavyopenda ukubwa angemwita mungu angepeta.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chenge alikuwa anajiona ye ndio kila kitu bungeni ingawa hakuwa speaker but he had some influences on Ndugai.Kwa mara ya kwanza JPM kanifurahisha kwa kuyakata majina yafuatayo
1. mwakyembe
2. nkamia
3. chenge
Kwa mtizamo wangu mimi hawa wajinga walijiona kama wao ndio wameibeba ccm pamoja na nchi.
Sijui atakuwa akimponda sasa😂😂Lugola alikosea kumwita Yesu Magu hakufurahia , anavyopenda ukubwa angemwita mungu angepeta.
Mwakyembe alikatwa na wananchi wenyewe!Kwa mara ya kwanza JPM kanifurahisha kwa kuyakata majina yafuatayo
1. mwakyembe
2. nkamia
3. chenge
Kwa mtizamo wangu mimi hawa wajinga walijiona kama wao ndio wameibeba ccm pamoja na nchi.
Nyoka wa makengeza, mzee wa vijisenti!!Chenge alikuwa anajiona ye ndio kila kitu bungeni ingawa hakuwa speaker but he had some influences on Ndugai.
Watu wanafikiri Mgufuli ni mjinga.Hakika kati ya watu walioenguliwa na CCM katika kugombea Ubunge, mmoja wapo wa wananojulikana sana ni Juma Nkamia wa jimbo la Chemba kule Dodoma.
Huyu Mbunge amekuwa akijipendekeza kinafiki na mwa kuudhi, kwa Rais Magufuli wazi wazi. Amekuwa akitaka muda wa Urais wa Magufuli uongezwe kwa kubadili katiba. Mapendekezo yake ati muda wa Urais uwe miaka 7 badala ya mitano iliyopo.
Rais Magufuli is on record kusema akimaliza muda wake wa Urais hataongeza hata siku moja, na ataondoka kumpisha mwingine ajaye.
Sasa hizi ngebe za Juma Nkamia sijui alikuwa anafikiria nini, wengine wakisema ati katumwa kupima upepo.
Jibu tumeliona. Juma Nkamia ni pumba za kisiasa, hakuna aliyemtuma na sasa arudi kwenye kazi yake ya zamani, akatangaze vikao vya kijiji chake.
Kujikomba nako ujinga.
Hakika kati ya watu walioenguliwa na CCM katika kugombea Ubunge, mmoja wapo wa wananojulikana sana ni Juma Nkamia wa jimbo la Chemba kule Dodoma.
Huyu Mbunge amekuwa akijipendekeza kinafiki na mwa kuudhi, kwa Rais Magufuli wazi wazi. Amekuwa akitaka muda wa Urais wa Magufuli uongezwe kwa kubadili katiba. Mapendekezo yake ati muda wa Urais uwe miaka 7 badala ya mitano iliyopo.
Rais Magufuli is on record kusema akimaliza muda wake wa Urais hataongeza hata siku moja, na ataondoka kumpisha mwingine ajaye.
Sasa hizi ngebe za Juma Nkamia sijui alikuwa anafikiria nini, wengine wakisema ati katumwa kupima upepo.
Jibu tumeliona. Juma Nkamia ni pumba za kisiasa, hakuna aliyemtuma na sasa arudi kwenye kazi yake ya zamani, akatangaze vikao vya kijiji chake.
Kujikomba nako ujinga.
hahaaah huyu mzee wetu mbona hana shida??Magufuli oyee..
Ally Kessy nae angepigwa chini ningemuelewa Zaid
Mwenge wa uhuru + chenge kuna jambo kubwa linakuja #Mshana_nyakati hazidanganyiKwa mara ya kwanza JPM kanifurahisha kwa kuyakata majina yafuatayo
1. mwakyembe
2. nkamia
3. chenge
Kwa mtizamo wangu mimi hawa wajinga walijiona kama wao ndio wameibeba ccm pamoja na nchi.
Hela. Hazina mwishoPamoja na kupata Million 250 bado atarudi pale kutangaza mpira? Sidhani...na kama akirudi itakuwa kituko.
Ukuu wa mkoa unamsubiri..Uzuri wa CCM ukikatwa huna option nyingine zaidi ya kuzidi kujipendekeza ili usikose vi-uteuzi uteuzi in case CCM ikishinda!!
kuwa ndani ya CCM ni zaidi ya ndoa ya kikristo!!
Dah mkuu, umenichekesha kwa sauti.Lugola alikosea kumwita Yesu Magu hakufurahia , anavyopenda ukubwa angemwita mungu angepeta.
Mwakyembe alisubiriwa ajifie mwenyewe alikuwa hamsaidii chochote jpmKwa mara ya kwanza JPM kanifurahisha kwa kuyakata majina yafuatayo
1. mwakyembe
2. nkamia
3. chenge
Kwa mtizamo wangu mimi hawa wajinga walijiona kama wao ndio wameibeba ccm pamoja na nchi.
Hivi Nkamia kachinjiwa kamati kuu au ni wajumbe walifanya kazi yao?Hakika kati ya watu walioenguliwa na CCM katika kugombea Ubunge, mmoja wapo wa wananojulikana sana ni Juma Nkamia wa jimbo la Chemba kule Dodoma.
Huyu Mbunge amekuwa akijipendekeza kinafiki na mwa kuudhi, kwa Rais Magufuli wazi wazi. Amekuwa akitaka muda wa Urais wa Magufuli uongezwe kwa kubadili katiba. Mapendekezo yake ati muda wa Urais uwe miaka 7 badala ya mitano iliyopo.
Rais Magufuli is on record kusema akimaliza muda wake wa Urais hataongeza hata siku moja, na ataondoka kumpisha mwingine ajaye.
Sasa hizi ngebe za Juma Nkamia sijui alikuwa anafikiria nini, wengine wakisema ati katumwa kupima upepo.
Jibu tumeliona. Juma Nkamia ni pumba za kisiasa, hakuna aliyemtuma na sasa arudi kwenye kazi yake ya zamani, akatangaze vikao vya kijiji chake.
Kujikomba nako ujinga.
Profesa wa falsafa wa digrii nne, aliyefundisha vyuo vikuu tofauti tofauti duniani.Mwakyembe alisubiriwa ajifie mwenyewe alikuwa hamsaidii chochote jpm
yovyote vile , huyu jamaa mnoko sana wa kisiasa!Hivi Nkamia kachinjiwa kamati kuu au ni wajumbe walifanya kazi yao?
Aliwahi kuwaambia wapinzani bungeni siongei na mbwa, naongea na mwenye mbwa!yovyote vile , huyu jamaa mnoko sana wa kisiasa!
Ng'ara Magufuli Ng'araMagufuli oyee..
Ally Kessy nae angepigwa chini ningemuelewa Zaid