TANZIA Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Bariadi mkoani Simiyu afariki dunia

Vijana ndio tunapaswa kujitokeza kuchukua fomu na kugombea pale inapotokea nafasi au uchaguzi.ikumbukwe ya kuwa kinachoangaliwa ni uwezo wa mtu kuongoza na kumudu majukumu yake.lakini kama hatutajitokeza kugombea nafasi mbalimbali za uongozi.basi tukae kimya na asiwepo wa kulalamika.
 

RIP Mmaaa. Watu wema nao wanakufa
 
MUNGU AILAZE PEMA ROHO YA SHUJAA HUYU

Mwendo ameumaliza kwa ushindi

Sote ni wa Mungu na kwake tutarejea.

Ameen
 
Kabla ya maziko muwahisheni Gwajima akafanye ufufuo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…