Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Gairo amwagiwa Tindikali na watu wasiojulikana

Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Gairo amwagiwa Tindikali na watu wasiojulikana

kwahiyo Chadema mmejihalalishia staili ya tindikali kwa kwenda mbele


Switii!!

Hapa ni Mungu ameamua kutuonesha wamwagaji wa tindikali kwenye nyuso za watu! CDM wanahusika vipi na mkutano wa ccm!!!!?

Taratibu Mungu atawaweka wote uchi!
 
huyu nae watazunguka nae jukwaani kuhadaa wananchi kuwa ni CHADEMA wanahusika?
CCM mtamalizana wenyewe hiini hatari sana

Mkuu si unajua chama chenyewe kina wapumbavu na madhaifu wana weza zunguka nae hawana mshipa wa aibu wale!
 
Mkuu chama,

Sasa hivi inabidi Watanzania tuwe makini hawa Bavicha watawamaliza watu na tindikali.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu chama,

Sasa hivi inabidi Watanzania tuwe makini hawa Bavicha watawamaliza watu na tindikali.

Mkuu Ritz
vijana wa Bavicha ni hatari sana wao sasa wameamua moja tu kurusha na kumwagia; unajua kuna yule pimbi aliyepigwa chini Bavicha sasa hivi anatumika sana kam pedi yupo tayari hata kuua; kuna jamaa yake mmoja anajitia mshikaji wake lakini jamaa alianiambia jamaa akimtembelea ghetto anaokosa sana imani yaani kama ni unga inabidi aumwage wote kwa kuogopa sumu ya panya!
 
Last edited by a moderator:
Kamanda CDM haisiki hapo nadhan bila shaka watakuwa ni green guards wenu walikuwa wanafanya majaribio ya ndani ya kigaidi kabla ya kuwafata wana CDM.

Ni Greenguard walikuwa wanafanya practical baada ya mafunzo ya nadharia. Tunamsubiri Mwigulu tu aje awape cheti cha kufuzu mafunzo ya Nadharia na Vitendo sasa. Ukimfuga chui, jua siku moja lazima atakugeuka mwenyewe tu.
 
Mleta mada inaonekana kuna kitu unajaribu kukificha sijui kwa makusudi ama hujui waambie wana JF nikikao gani emwagiwa tindikali alipaswa kuhuzuria, je hao watu waliomgongea mpaka akafungua dirisha hajawajua hata kwa sauti...

Watu wanakugongea usiku kama huwajui unafubguake dirisha ili kuongea nao?!
Mnachezeana michezo ya kipuuzi wenyewe kwa wenyewe.

Sasa huyu nae atakuwa kinyago cha Mwigulu au Kinana?
 
Na hao ni CDM?? mmeparanganyika na hata hamuwezi kurudi kuwa wamoja tena kwa laana ya kuua na kuibia watanzania.
Mungu hatakaa awafiche watu wabaya na atawapa maisha marefu ili waweze kushuhudia uzandiki wao ukidhihirika hata kwa wale waliokuwa hawaelewi kinachoendelea hapo kabla.
 
Hongera Mwigulu umepata katuni nyingine ya kutumia majukwaani.
 
Last edited by a moderator:
Wataalam wa kushugulikia wenzao kwa tindikali wapo greengard huwa wanajaribishia wakorofi ndani ya chama chao pole m'kiti laumu huo utaalam wa mwiguru
 
Chadema mtatumaliza jamani tuoneeni huruma sisi ni binadamu kama nyie.

Mwigulu atakuwa na kontena la acid...wote wenye shida na wabaya wao wamwone Mwigulu kama babu wa Loliondo vile
 
this is ridicule and fascinating story, why it has to be like this?? when will these inhuman things last?? shame on you who so ever for sure you will pay this...
 
Dooooh inasikitisha sana maana atakuwa sura Yale Kama Mh. Wasira
 
Back
Top Bottom