Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Gairo amwagiwa Tindikali na watu wasiojulikana

Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Gairo amwagiwa Tindikali na watu wasiojulikana

Movie nyingine ya Mwigulu on the making. This time the main character ni Waziri Mkuu Mpumbavu, "Polisi piga mtu yeyote akikataa kutii amri."

Sasa mchawi sijui ni nani.
 
duh sasa hivi utasikia katibu wa chadema morogoro kakamatwa
 
kwi kwi kwi kwi! Ha ha ha ha..
We jamaa Mingoi umenivunja mbavu aiseeee.

Du! Kuna watu wamepinda humu jf kama Mizengo Pinda! Eti tulale na MASK?!! Ila kwa mbali kuna ka-ukweli, hasa ukiipata kama ya mwana WWE KANE itakusaidia! Hili nalo waseme CHADEMA ndo wamehusika!
 
Last edited by a moderator:
Ni kweli kuwa kuna mvutano wa kisiasa kati ya mbunge shabiby na bw. Awadhi kwan mbunge hakupenda Awadhi kuwa mwenyekiti , pia shabby alikivuruga na kukigawa chama cha mapinduzi katka uchanguzi wa 2010 kwa kumsapot mgombea udiwan wa Chadema had akashinda, pia tukumbuke shabby anatumia pesa zake na ujinga wa wakazi wengi wa Gairo kuwatawala, lakin haya yote hayatoshelezi kumhukumu mh. Mbunge kwa hili la acid!
 
Tukisema wengi CCM mna uroho wa madaraka na mnajali masuala yenu binafsi, kama mapema hivi mmeanza kumwagiana Tindikali kisa ubunge, itakuwaje 2015?
 
ccm ni janga la taifa ona sasa wanamwagiana wenyewe tindikali kisa madaraka huroo wa madaraka utawauweni
 
Ni kweli kuwa kuna mvutano wa kisiasa kati ya mbunge shabiby na bw. Awadhi kwan mbunge hakupenda Awadhi kuwa mwenyekiti , pia shabby alikivuruga na kukigawa chama cha mapinduzi katka uchanguzi wa 2010 kwa kumsapot mgombea udiwan wa Chadema had akashinda, pia tukumbuke shabby anatumia pesa zake na ujinga wa wakazi wengi wa Gairo kuwatawala, lakin haya yote hayatoshelezi kumhukumu mh. Mbunge kwa hili la acid!

hapo policcm huwa wanaziba masikio yao....
 
Movie nyingine ya Mwigulu on the making. This time the main character ni Waziri Mkuu Mpumbavu, "Polisi piga mtu yeyote akikataa kutii amri."

Sasa mchawi sijui ni nani.
Mkiambiwa mwache kunnywa vuroba asubuhi hamtaki,haya ndiyo madhara yake mnaanfika utumbo.
 
Tukisema wengi CCM mna uroho wa madaraka na mnajali masuala yenu binafsi, kama mapema hivi mmeanza kumwagiana Tindikali kisa ubunge, itakuwaje 2015?
Mkuu, unatumia kiungo gani unapofikiri?? Samahani lakini
 
Chadema hawaitakii mema nchi hii hata kidogo, walianza na sumu, wakaendelea na mabomu watamaliza na tindikali...
 
Chadema hawaitakii mema nchi hii hata kidogo, walianza na sumu, wakaendelea na mabomu watamaliza na tindikali...
we kichwa chako kimeliwa na dumuz limebaki container linazungushwa na upepo tu
 
hapo napo mtasema ni CDM,hakika malipo ya dhambi zenu za unafiki na njama mbovu za kukihujumu CDM lazima itaendelea kuwatafuna.
 
Its hightime now msajili wa vyama vya siasa aoneshe kuwa yupo ofsini na tunamlipa kwa kodi zetu. Haiwezekani kachama kamoja kaendelee kuchezea roho na damu za wananchi hivi hivi
 
Back
Top Bottom