Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwi kwi kwi kwi! Ha ha ha ha..
We jamaa Mingoi umenivunja mbavu aiseeee.
wanaotaka madaraka hata kwa kumwaga damu ni chadema na haya matukio ni mageni na mapya kwa nchi yetu.
kwahiyo Chadema mmejihalalishia staili ya tindikali kwa kwenda mbele
akili yako ipo likizo nn, au una mwiguluphobia..mmemwagia mtu tindikali unajifanya taahira hapa
Ni kweli kuwa kuna mvutano wa kisiasa kati ya mbunge shabiby na bw. Awadhi kwan mbunge hakupenda Awadhi kuwa mwenyekiti , pia shabby alikivuruga na kukigawa chama cha mapinduzi katka uchanguzi wa 2010 kwa kumsapot mgombea udiwan wa Chadema had akashinda, pia tukumbuke shabby anatumia pesa zake na ujinga wa wakazi wengi wa Gairo kuwatawala, lakin haya yote hayatoshelezi kumhukumu mh. Mbunge kwa hili la acid!
Mkiambiwa mwache kunnywa vuroba asubuhi hamtaki,haya ndiyo madhara yake mnaanfika utumbo.Movie nyingine ya Mwigulu on the making. This time the main character ni Waziri Mkuu Mpumbavu, "Polisi piga mtu yeyote akikataa kutii amri."
Sasa mchawi sijui ni nani.
Hujui kuwa lwakatare yupo nje kwa dhamana.ccm ni janga la taifa ona sasa wanamwagiana wenyewe tindikali kisa madaraka huroo wa madaraka utawauweni
hapo policcm huwa wanaziba masikio yao....
Mkuu, unatumia kiungo gani unapofikiri?? Samahani lakiniTukisema wengi CCM mna uroho wa madaraka na mnajali masuala yenu binafsi, kama mapema hivi mmeanza kumwagiana Tindikali kisa ubunge, itakuwaje 2015?
we kichwa chako kimeliwa na dumuz limebaki container linazungushwa na upepo tuChadema hawaitakii mema nchi hii hata kidogo, walianza na sumu, wakaendelea na mabomu watamaliza na tindikali...
Nimwagie tindikali basiwe kichwa chako kimeliwa na dumuz limebaki container linazungushwa na upepo tu