Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Gairo amwagiwa Tindikali na watu wasiojulikana

Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Gairo amwagiwa Tindikali na watu wasiojulikana

hivi chadema mnaipeleka wapi nchi?? kwann hamuachi kula nyama za watu???

duuu!! Amakweli ukiwa na ny*ge hakika lazima umatafute bwana ako azitoe .sasa hapo chadema wanahusikaje tena ??? Au wamekuganda hadi kwenye pichu?? Unakazi kweli tangia lin ccm na chadema wakawa na kikao?? Yaani hata mazingia ambayo yapo wazi kabisa bado unataka kuficha ukweli kwa kujifanya hujaelewa??? Kwa kweli unakazi
 
Mwenyekiti wa CCM Wilaya mpya ya Gairo Bwana Omary Awadhi, amemwagiwa tindikali usiku wa kuamkia leo nyumbani kwake Gairo. Kwa mujibu wa mwenyekiti huyo tukio hilo lilitokea usiku wa manane baada ya watu wasiojulikana kumgongea na kumwamsha.

Hata hivyo anasema aligoma kufungua mlango bali alifungua kioo cha dirisha la chumbani kwake. Watu hao walimuonya kutohudhuria kikao ambacho yeye ni mhusika alipokataa, ndipo ghafla akahisi kumwagiwa kitu usoni kilichomletea maumivu makali sana.

Aliwahi kunawa maji lakini hali bado ni tete.Muda huu yupo safarini anakimbizwa Dar kwa matibabu zaidi baada ya uso wake kuharibika.

GAIRO


Kweli Mbwa kala Mbwa.......hii Inaonyesha Umaa ni nani wenye teknelojia ya Tindikali...sasa wanamwagiana wenyewe..kwa ajili ya siasa Zao za ndani...
 
Sawa kabisa ni ugomvi wa ndani maana unasema aliambiwa asije kwenye kikao, sio vikao vyao vya ndani au kulikuwa na kikao cha vyama vyote mwenyekiti wake nani?
 
Mwenyekiti wa CCM Wilaya mpya ya Gairo Bwana Omary Awadhi, amemwagiwa tindikali usiku wa kuamkia leo nyumbani kwake Gairo. Kwa mujibu wa mwenyekiti huyo tukio hilo lilitokea usiku wa manane baada ya watu wasiojulikana kumgongea na kumwamsha.

Hata hivyo anasema aligoma kufungua mlango bali alifungua kioo cha dirisha la chumbani kwake. Watu hao walimuonya kutohudhuria kikao ambacho yeye ni mhusika alipokataa, ndipo ghafla akahisi kumwagiwa kitu usoni kilichomletea maumivu makali sana.

Aliwahi kunawa maji lakini hali bado ni tete.Muda huu yupo safarini anakimbizwa Dar kwa matibabu zaidi baada ya uso wake kuharibika.

GAIRO

Mleta mada naomba unijibu maswali yafuatayo ya ufahamu tu
1. Kama una taarifa ni kikao gani ambacho mwenyekiti huyo alikuwa anatakiwa kuhudhuria?
2. Hali ya kisiasa hapo Gairo kwa upande wa CCM ikoje? nakuuliza swali hili nikiwa na angalizo maeneo ambayo CCM wako taabani uamua kumtoa mwanachama wao kafara kwa kumfanyia chochote kibaya ili tu kupata mwanya wa kukamata wapinzani.
3. Vipi nyumba ya huyu mwenyekiti ikoje? ni kweli kuna uwezekano wa mazingira uliyoyazungumzia?
4. Je kuna watu waliokamatwa au kuhusishwa na tukio hilo?
5. Vipi Polisi wanasemaje?
Nitashukuru ukitolea ufafanuzi maswali yangu mkuu.
 
Pole kwa Mwenyekiti wa ccm!

Hanifa hebu funguka madam!

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
Chadema mtatumaliza jamani tuoneeni huruma sisi ni binadamu kama nyie.
 
Mwenyekiti wa CCM Wilaya mpya ya Gairo Bwana Omary Awadhi, amemwagiwa tindikali usiku wa kuamkia leo nyumbani kwake Gairo. Kwa mujibu wa mwenyekiti huyo tukio hilo lilitokea usiku wa manane baada ya watu wasiojulikana kumgongea na kumwamsha.

Hata hivyo anasema aligoma kufungua mlango bali alifungua kioo cha dirisha la chumbani kwake. Watu hao walimuonya kutohudhuria kikao ambacho yeye ni mhusika alipokataa, ndipo ghafla akahisi kumwagiwa kitu usoni kilichomletea maumivu makali sana.

Aliwahi kunawa maji lakini hali bado ni tete.Muda huu yupo safarini anakimbizwa Dar kwa matibabu zaidi baada ya uso wake kuharibika.

GAIRO

Vita ya kidini hii
 
Mmmmmh hadi Gairo sasa, okeee hapo uchunguzi lazima ujikite pia kwnye biashara na siasa ili kuweza kuubaini ukweli wa mambo, daaaa kwel ashv Gairo panatisha ka unguroad, mamboya had malimbika hapafai!
 
Taarifa toka kwa mjumbe wa Jumuiya ya Wazazi (Jina kapuni) anasema kumekuwepo mvutano wa muda mrefu kati ya Mwenyekiti huyo na Mbunge wa jimbo hilo la Gairo Mhe: Ahmed Shabiby. Mgogoro huo ulichukua sura mpya baada ya ziara ya Kinana kwani mwenyekiti alimtuhumu Mbunge huyo kugawa chama huku na yeye akitangaza kugombea ubunge 2015. Kikao kilichosababisha mtafaruku huo ni cha tarehe06/07/2013 kuhusu wajumbe wa mkutano mkuu wa wilaya kutaka kupiga kura ya kutokuwa na imani na Mwenyekiti huyo ambaye magaidi waliomdhuru walimtaka asihudhurie.
 
Mleta mada naomba unijibu maswali yafuatayo ya ufahamu tu
1. Kama una taarifa ni kikao gani ambacho mwenyekiti huyo alikuwa anatakiwa kuhudhuria?
2. Hali ya kisiasa hapo Gairo kwa upande wa CCM ikoje? nakuuliza swali hili nikiwa na angalizo maeneo ambayo CCM wako taabani uamua kumtoa mwanachama wao kafara kwa kumfanyia chochote kibaya ili tu kupata mwanya wa kukamata wapinzani.
3. Vipi nyumba ya huyu mwenyekiti ikoje? ni kweli kuna uwezekano wa mazingira uliyoyazungumzia?
4. Je kuna watu waliokamatwa au kuhusishwa na tukio hilo?
5. Vipi Polisi wanasemaje?
Nitashukuru ukitolea ufafanuzi maswali yangu mkuu.

Majibu yako tayari. Lakin polisi wamempa PF3 tu ya matibabu na mganga wa zamu ndo amemtaka mjeruhiwa kwenda Muhimbili kwani hali yake iliendelea kuwa mbaya
 
Eheee wamejimwagiana wenye ili kutafuta huruma ya wapiga kura
 
ndugu unataka nikutusi? cdm inausiana vipi na ugomvi kati ya mbuge na mwenyekiti wa jumuiya ya wazazi wanao gombania nafsi ya kuwa wagunge 2015? je heshimu kidogo bwana
Chadema mtatumaliza jamani tuoneeni huruma sisi ni binadamu kama nyie.
 
Back
Top Bottom