Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Gairo amwagiwa Tindikali na watu wasiojulikana

Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Gairo amwagiwa Tindikali na watu wasiojulikana

Kuna kitu mleta mada katuficha hapa.
1/Ni kikao gani hicho ambacho huyo Mwenyekiti wa CCM anahusika kuhudhuria?

2/Ni kwanini walimuonya asihudhurie hicho ''Kikao''?

3/Kikao hicho kilikuwa na umuhimu gani kwake Au kwao hao wahusika?

4/Ni kwanini aseme hawajui KABISA watu hao, halafu hapo hapo aseme watu hao walishawahi kuja kumwonya, alisikia sauti zao wakimlazimisha kufungua mlango, aliwafungulia dirisha la Kioo?
 
Omary awadh ni mfanyabiashara mwenye ukwasi! Hii itakuwa vita ya magamba kwa magamba! Soon utamsikia chagonja akisema CDM wanausika.
 
Hata nikimwagikiwa na TINDIKALI maabara itakuwa imesababishwa na CHADEMA. Viongozi wa CHADEMA mjiandae na kesi ya UGAIDI.
 
Tindikali ya Mwigulu hiyo @work anatafuta KATUNI (according to Gambaz) mwingine wa kuzurura naye
 
Eeee mungu uliye hai, ona na sikia maombi ya magaidi haya, yalaani ee mungu unayeumba na uliyeumba binadamu kwa mfano wako, yalegeze na yapige kofi yatangulie kufa yenyewe!!!!!!!!!!! aaaaaimen
Mkuu unajidhalilisha Kama huna hoja Nenda kwenye jukwaa la MMU ndio madada Kama wewe wanakaa
 
Barabara ya kuja Dar imefungwa! Hamkumsikia Membe? Mpelekeni kwingine la sivyo atafia kwenye jam! Mwigulu, mwingine huyo wa kupeleka majukwaani
 
Last edited by a moderator:
Barabara ya kuja Dar imefungwa! Hamkumsikia Membe? Mpelekeni kwingine la sivyo atafia kwenye jam! Mwigulu, mwingine huyo wa kupeleka majukwaani
Kibooooooooooooo!! Dar kumejaa hadi wordini hawana habari..!! siwezi kucheka mimi jamanii...Pole lakin M/kiti ...Endelea kunawa uso huku unaenda Tindikali inachukua maji mengi sana ya kunawia!!
 
Nyie si mliwachukua vijana wa UVCCM mikoa mbalimbali mkawafundisha mbinu za kuhujuma upinzani? eti mliliita jeshi la kijani. Sasa wanajeshi wameanza kutumia mbinu walizojifunza kwa wanafamilia wao. Bunduki haichagui mmiliki na asiye mmiliki.
 
hivi chadema mnaipeleka wapi nchi?? kwann hamuachi kula nyama za watu???

Tatizo la viongozi wa ccm ni wazinzi wa wake za watu ndio maana wakifumaniwa wanamwagiwa tindikali kwa ufinyu wa kufikri wanawasingizia chadema, kama mwigulu kagonga mke wa mtu mpaka mimba imetoka Igunga angemwagiwa tindikali angesema chadema. pumbaaaaaavu zao
 
Hawa jamaa watatuua,inabidi tulale na mask usoni
 
Pole kwa mwenyekiti wa CCM.
Tabia hii isipo tafutiwa dawa italeta usumbufu mkubwa kwa Watanzania.
Serikali isipuuze wanaoshukiwa kwani wanaweza kuisaidia kwenye upelelezi.
Ila watu wasionewe kwa mitazamo ya kichama.Mungu Ibariki Tanzania
 
Pole kwa mwenyekiti wa CCM.
Tabia hii isipo tafutiwa dawa italeta usumbufu mkubwa kwa Watanzania.
Serikali isipuuze wanaoshukiwa kwani wanaweza kuisaidia kwenye upelelezi.
Ila watu wasionewe kwa mitazamo ya kichama.
Mungu Ibariki Tanzania
 
Back
Top Bottom