Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Gairo amwagiwa Tindikali na watu wasiojulikana

Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Gairo amwagiwa Tindikali na watu wasiojulikana


[TD="class: xl67, width: 54"]Yuda[/TD]
[TD="class: xl65, width: 28"]1[/TD]
[TD="class: xl65, width: 28"]9
[/TD]
[TD="class: xl66, width: 737"]".....................Bwana na akukemee".
[/TD]

Na hao ni CDM?? mmeparanganyika na hata hamuwezi kurudi kuwa wamoja tena kwa laana ya kuua na kuibia watanzania.
 
Mwenyekiti wa CCM Wilaya mpya ya Gairo Bwana Omary Awadhi, amemwagiwa tindikali usiku wa kuamkia leo nyumbani kwake Gairo. Kwa mujibu wa mwenyekiti huyo tukio hilo lilitokea usiku wa manane baada ya watu wasiojulikana kumgongea na kumwamsha.

Hata hivyo anasema aligoma kufungua mlango bali alifungua kioo cha dirisha la chumbani kwake. Watu hao walimuonya kutohudhuria kikao ambacho yeye ni mhusika alipokataa, ndipo ghafla akahisi kumwagiwa kitu usoni kilichomletea maumivu makali sana.

Aliwahi kunawa maji lakini hali bado ni tete.Muda huu yupo safarini anakimbizwa Dar kwa matibabu zaidi baada ya uso wake kuharibika.

GAIRO
Nchemba kapata mwingine wa kumpandisha kwenye majukwaa. Kama kampeni zisingeahiriswa Arusha angesimamishwa jukwaani.


Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
 
Sasa kama ni mkaidi wafanyaje,wammwagie tu,na mimi nasema wammwagie tu.Nimechoka.
 
Hapo imekaa sawa !!

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Duuuuuuuh.....hii kaz kwel kwel!!!!!safari bado ndefu.....2015!
 
wanaotaka madaraka hata kwa kumwaga damu ni chadema na haya matukio ni mageni na mapya kwa nchi yetu.
Ngoja tuangalie list ya waliwahi kupatwa na dhahama ya kufanyiwa kitu kibaya ili tujue ni CDM au la.
  1. Horace Kolimba aliitwa Dodoma kwenye kikao cha ccm ili wamuulize ni kwanini kasema ccm imepoteza Dira? alipoingia kikaoni, hakurudi tena, bila shaka watakua CDM waliofanya vile.
  2. Imrani Kombe (rafiki wa karibu na Augostine Lyatonga Mrema) mara baada ya kuvujisha siri ya msamaha wa kodi na mrungura wa Tsh 900M kwa kigogo wa ccm aliopewa na wafanya biashara wa mafuta na viwanda vya samaki kule Mwanza, alipigwa risasi na polisi, nadhani hi nayo ilikua ni CHADEMA hawa.
  3. Kijana alikuwa dereva wa gari lililomuua marehem Chacha Wangwe (MP, RIP) alikutwa hana leseni ya udereva, pamoja na kwamba alisababisha ajali ilichukua uhai wa Mbunge, rais alimuachia kwamsamaha wa raisi na sasa yupo mtaani, hili nalo nadhani ni CDM.
  4. Yasemekana mwalimu Nyerere alikataa kwenda kutibiwa UK (Nimeitoa hii siri kwenye kampeni za Ubunge pale USA river, by campegn manager wa CDM) na Mkapa akalazimisha, Nyerere hakurudi hadi leo, mara baada ya kifo chake, kulitokea ufisadi wa kutisha, nahisi hata hiki kifo ni kilipangwa na CHADEMA.
  5. Kifo cha marehem Daudi Mwangosi akiwa chini ya mikono salama ya polisi tena kwa ulinzi madhubuti wa RPC wa Iringa, alipigwa bomu na mwili wake kusambaratishwa, RPC sasa kapandishwa cheo, hili nalo akili yangu inanituma kua ni CDM.
  6. Kibanda, Ulimboka n.k, nao sijui ni CDM? mbona sasa waziri alilifungia gazeti la Mwanahalisi wakati lilitoa full story ya mteseji wa Dr. Uli? CHADEMA bwana!
  7. ....
  8. n.k
Sijui kama bado tutasema ni CHADEMA kweli, lakini pia, kama ni CDM wanafanya haya, inakuaje usalama wa taifa uwe kimya na hata washinikize wauaji wapndishwe vyeo?
 
Ngoja tuangalie list ya waliwahi kupatwa na dhahama ya kufanyiwa kitu kibaya ili tujue ni CDM au la.
  1. Horace Kolimba aliitwa Dodoma kwenye kikao cha ccm ili wamuulize ni kwanini kasema ccm imepoteza Dira? alipoingia kikaoni, hakurudi tena, bila shaka watakua CDM waliofanya vile.
  2. Imrani Kombe (rafiki wa karibu na Augostine Lyatonga Mrema) mara baada ya kuvujisha siri ya msamaha wa kodi na mrungura wa Tsh 900M kwa kigogo wa ccm aliopewa na wafanya biashara wa mafuta na viwanda vya samaki kule Mwanza, alipigwa risasi na polisi, nadhani hi nayo ilikua ni CHADEMA hawa.
  3. Kijana alikuwa dereva wa gari lililomuua marehem Chacha Wangwe (MP, RIP) alikutwa hana leseni ya udereva, pamoja na kwamba alisababisha ajali ilichukua uhai wa Mbunge, rais alimuachia kwamsamaha wa raisi na sasa yupo mtaani, hili nalo nadhani ni CDM.
  4. Yasemekana mwalimu Nyerere alikataa kwenda kutibiwa UK (Nimeitoa hii siri kwenye kampeni za Ubunge pale USA river, by campegn manager wa CDM) na Mkapa akalazimisha, Nyerere hakurudi hadi leo, mara baada ya kifo chake, kulitokea ufisadi wa kutisha, nahisi hata hiki kifo ni kilipangwa na CHADEMA.
  5. Kifo cha marehem Daudi Mwangosi akiwa chini ya mikono salama ya polisi tena kwa ulinzi madhubuti wa RPC wa Iringa, alipigwa bomu na mwili wake kusambaratishwa, RPC sasa kapandishwa cheo, hili nalo akili yangu inanituma kua ni CDM.
  6. Kibanda, Ulimboka n.k, nao sijui ni CDM? mbona sasa waziri alilifungia gazeti la Mwanahalisi wakati lilitoa full story ya mteseji wa Dr. Uli? CHADEMA bwana!
  7. ....
  8. n.k
Sijui kama bado tutasema ni CHADEMA kweli, lakini pia, kama ni CDM wanafanya haya, inakuaje usalama wa taifa uwe kimya na hata washinikize wauaji wapndishwe vyeo?
9.kada wa ccm kumwagiwa tindikali igunga ambapo hivi sasa makada na viongozi wa chadema wana kesi mahakamani
10.mauaji ya kijana morogoro chadema ilihusishwa
11. bomu ktk mkutano wa chadema arusha ili kutafuta huruma kwa wananchi
12. kumtishia kumuua kwa bastola mama yake zitto
13.
 
Ooh!!! No!!! My devil! Why he didn't die!!!???

Eeee mungu uliye hai, ona na sikia maombi ya magaidi haya, yalaani ee mungu unayeumba na uliyeumba binadamu kwa mfano wako, yalegeze na yapige kofi yatangulie kufa yenyewe!!!!!!!!!!! aaaaaimen
 
wanaotaka madaraka hata kwa kumwaga damu ni chadema na haya matukio ni mageni na mapya kwa nchi yetu.
Sasa Chadema wanataka madaraka gani ndani ya CCM. Huku ndio kuandika bila kufikiri


Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
9.kada wa ccm kumwagiwa tindikali igunga ambapo hivi sasa makada na viongozi wa chadema wana kesi mahakamani
10.mauaji ya kijana morogoro chadema ilihusishwa
11. bomu ktk mkutano wa chadema arusha ili kutafuta huruma kwa wananchi
12. kumtishia kumuua kwa bastola mama yake zitto
13.

13. Mwakyembe kuwekewa taulo lenye sumu ofisini kwake na mwili wake kuanza kutoa unga kama KITIMOTO aliyekomaa
 
Back
Top Bottom