Statistics
JF-Expert Member
- Sep 22, 2013
- 3,666
- 7,788
Kama alikuwa mtu wa matukio muda wake wa kushikishwa adabu umewadia.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tutafurahi sana maana tunahitaji awe mzimaVipi ikigundulika hata beni saanane kafichwa kwa Aisha tabata
Atakuwa ameenda Kwa hawara yake ama amejiteka ... Si ndio Majibu mnatoaga wakipotea wa upamde ule!??Wanachama wa chama cha mapinduzi, wilaya ya Hai, huko Kilimanjaro, wameshinda ofisi ya chama Wilaya, wakimtafuta Mwenyekiti wao wa Chama Wilaya, siku ya 5 Sasa haonekani.
Mwenye taarifa za kupoteza kwake tafadhali!
Basi Naye atakuwa Yuko huko kwaiyo muache kuwapakazia watu wengineTutafurahi sana maana tunahitaji awe mzima
Je, wanawake wote wa eneo hilo wapo? Kama kuna anayekosekana anzieni hapo.Wanachama wa chama cha mapinduzi, wilaya ya Hai, huko Kilimanjaro, wameshinda ofisi ya chama Wilaya, wakimtafuta Mwenyekiti wao wa Chama Wilaya, siku ya 5 Sasa haonekani.
Mwenye taarifa za kupoteza kwake tafadhali!
Usikute bw. 7ya ndio amepewa kuongoza hiyo idara na karudi Hai kwa waliokuwa wamemtenga kuanza naoWalianza na upinzani sasa wamegeukiana wao kwa wao
"Wameshinda ofisi ya chama Wilaya, wakimtafuta Mwenyekiti..."Wanachama wa chama cha mapinduzi, wilaya ya Hai, huko Kilimanjaro, wameshinda ofisi ya chama Wilaya, wakimtafuta Mwenyekiti wao wa Chama Wilaya, siku ya 5 Sasa haonekani.
Mwenye taarifa za kupoteza kwake tafadhali!
Kuna Watu wanaamini hii story ya Thadei ujue🐼Au na huyu wamekutuma kama kule kwa Ole Mushi? Ila ukabadili style kutoka ya vimiminika na kutumia ya kupoteza mazima?
Mr. Gilbert Terminator!
Watoe taarifa polisiWanachama wa chama cha mapinduzi, wilaya ya Hai, huko Kilimanjaro, wameshinda ofisi ya chama Wilaya, wakimtafuta Mwenyekiti wao wa Chama Wilaya, siku ya 5 Sasa haonekani.
Mwenye taarifa za kupoteza kwake tafadhali!
Bwege weweAu na huyu wamekutuma kama kule kwa Ole Mushi? Ila ukabadili style kutoka ya vimiminika na kutumia ya kupoteza mazima?
Mr. Gilbert Terminator!
Mvaaa pampas habari yako?Hatari sn
Nzuri dada anguMvaaa pampas habari yako?
Si tulishakubaliana kwamba Magufuli ndo alikiwa anawpoteza na kwamba sasa tuna mama mfariji mkuu,ameimarisha demokrasia na kwamba anafungua nchi na ana upendo imekuwaje tena?Wanachama wa chama cha mapinduzi, wilaya ya Hai, huko Kilimanjaro, wameshinda ofisi ya chama Wilaya, wakimtafuta Mwenyekiti wao wa Chama Wilaya, siku ya 5 Sasa haonekani.
Mwenye taarifa za kupoteza kwake tafadhali!
Urudi kwenu Kongo kima weweNzuri dada angu
Aanze mumeoUrudi kwenu Kongo kima wewe
kwani kapotelea ofisini ili washinde hapo wakimtafutaWanachama wa chama cha mapinduzi, wilaya ya Hai, huko Kilimanjaro, wameshinda ofisi ya chama Wilaya, wakimtafuta Mwenyekiti wao wa Chama Wilaya, siku ya 5 Sasa haonekani.
Mwenye taarifa za kupoteza kwake tafadhali!