econonist
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 20,189
- 29,663
MwenyeweMwendo Kasi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MwenyeweMwendo Kasi.
Labda, ila sidhani.Labda wamegundua ana connection na mwamba wanataka kumla kichwa.
Sasa mnaanza kutujia na maigizo mapema yote hiyo,ngoja chaguzi zifike🤔Wanachama wa chama cha mapinduzi, wilaya ya Hai, huko Kilimanjaro, wameshinda ofisi ya chama Wilaya, wakimtafuta Mwenyekiti wao wa Chama Wilaya, siku ya 5 Sasa haonekani.
Mwenye taarifa za kupoteza kwake tafadhali!
Mbinguni huendiWamcheki na kule tabata kwa Ashura.....
Israel wa ccm mtoa rohoMvaaa pampas habari yako?
Tapeli huyo@Gilbert A Massawe una kesi ya kujibu ya mauaji.
Kichaa weweIsrael wa ccm mtoa roho
Magufuli na mama wote ni CCM ile ile isiyo na huruma.Si tulishakubaliana kwamba Magufuli ndo alikiwa anawpoteza na kwamba sasa tuna mama mfariji mkuu,ameimarisha demokrasia na kwamba anafungua nchi na ana upendo imekuwaje tena?
Wacheki ofisini kwa dc wakeWanachama wa chama cha mapinduzi, wilaya ya Hai, huko Kilimanjaro, wameshinda ofisi ya chama Wilaya, wakimtafuta Mwenyekiti wao wa Chama Wilaya, siku ya 5 Sasa haonekani.
Mwenye taarifa za kupoteza kwake tafadhali!
Wewe mbwa huyo alipanda sgr yuko njiani anaenda moroCHADEMA wameanza kuteka watu.
Wakipata Dola itakuwaje sijui?.
Kwani kwa Saisa zao za Visasi, Vinyongo na makasiriko-haya yamewafurahisha sana.
Chagua kwa Umakini 2025
Kwa hiyo tukubaliene tena kwamba na the so called "mama"anateka?Magufuli na mama wote ni CCM ile ile isiyo na huruma.
Shika adabu Mbwamamayako. Kajipanua sahivi akisubiri kupandwa kama hiyo treni ya sgr.Wewe mbwa huyo alipanda sgr yuko njiani anaenda moro
Bila shaka huyu ndie alieandika barua ya siri kipindi kile? Itakuwa wenzie wamemmind?Wanachama wa chama cha mapinduzi, wilaya ya Hai, huko Kilimanjaro, wameshinda ofisi ya chama Wilaya, wakimtafuta Mwenyekiti wao wa Chama Wilaya, siku ya 5 Sasa haonekani.
Mwenye taarifa za kupoteza kwake tafadhali!
Washaanza kutafunana sasa. Uchaguzi umekaribia
Kwani mama anaenda kugombea kiti chochote huko Hai?Mama hawezi kufanya huo ujinga, acheni kumzushia mabaya