Ashura kabobea kuweka watu mateka bila shaka.....!Wamcheki na kule tabata kwa Ashura.....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ashura kabobea kuweka watu mateka bila shaka.....!Wamcheki na kule tabata kwa Ashura.....
Ajiandae kupumzika kwa AmaniSiku wakikutia mkononi ndo utaitamka vzr hiyo Congo, kama ni congo kinshasa au Congo Brazzaville....very soon ita enjoy chensoo
Kwa hiyo "mama" yenu kawashindwa?Kwn aliondoka na watenda kz?? Si hao wapo akina Bashite na Sabaya??
CCM imejaa majangili tupu@Gilbert A Massawe una kesi ya kujibu ya mauaji.
Wanachama wa chama cha mapinduzi, wilaya ya Hai, huko Kilimanjaro, wameshinda ofisi ya chama Wilaya, wakimtafuta Mwenyekiti wao wa Chama Wilaya, siku ya 5 Sasa haonekani.
Mwenye taarifa za kupoteza kwake tafadhali!
Fisi wananenepa wakati huuDuh...!.
P
Mmmhh!Kama ni CCM hakuna hasara
Kajiingiza ndani ngia ya 18 ya wenye nchi huyo - tukamsake pori la Katavi kabla hajaliwa na fisi.Wanachama wa chama cha mapinduzi, wilaya ya Hai, huko Kilimanjaro, wameshinda ofisi ya chama Wilaya, wakimtafuta Mwenyekiti wao wa Chama Wilaya, siku ya 5 Sasa haonekani.
Mwenye taarifa za kupoteza kwake tafadhali!
Kwani hakupatikana... taarifa ya March 2024 hii