Wakionekana wanapaswa kuwa nje kwa dhamana, Je watalipwa fidia ya kuwekwa ndani muda wote huo!?
Sent using Jamii Forums mobile app
mambo ya kunajisi sheriaWalikata rufaa Mahakama Kuu wakipinga uamuzi wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kuwafutia dhamana.
Walifutiwa dhamana hiyo na aliyekuwa Hakimu Mkazi Mkuu, Wilbard Mashauri Novemba 23, 2018. Kufuatia uamuzi huo, Mbowe na Matiko, walikata rufaa Mahakama Kuu siku hiyo hiyo, wakipinga kufutiwa dhamana yao chini ya hati ya dharura. DPP aliweka pingamizi la awali akiiomba mahakama hiyo isiisikilize rufaa hiyo pamoja na mambo mengine akidai kuwa haina mamlaka kwa kuwa rufaa hiyo ilikuwa inakiuka matakwa ya sheria
Mbowe na matiko walikata rufaa Mahakama ya Rufaa, na Tarehe 1 Machi Mahakama ya Rufani ilitupilia mbali hoja za rufaa ya Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP) na kuelekeza jalada la rufaa hilo lirejeshwe Mahakama Kuu kwa ajili ya kuendelea na usikilizwaji wa rufaa.
Kwa hiyo rafiki yako akiwa anakazwa na basha wake utataka ukazwe wewe!? Yaani dharau ifanyiwe mahakama kuumia uumie wewe!? Au uko ofisini kwa DPP!?siyo haki kabisa tunakata rufaa tena haiwezekani waizarau mahakama tena wapate dhamana mara ya pili hao wanatakiwa waendelee kusota mpaka wakome
Kamanda nasiBREAKING NEWS .....
Mahakama kuu ya Tanzania masijala ya Dar es Salaam chini ya Jaji Rumanyika yatengua uamuzi wa mahakama ya hakimu mkazi kisutu wa kufuta dhamana za Mhe Freeman Mbowe na Mhe Esther Matiko. Mahakama hiyo imeeleza kusikitishwa na ufutaji wa dhamana hizo na kuzitaka mahakama za chini zijionye kabla ya kufikia maamuzi yasio ya haki na kikatiba.
Sent using Jamii Forums mobile app
Comments zenu zinaonesha mmechoka kungojea uteuzi wa favour kutoka kwa jiwe. Vuteni subira mtakumbukwa tu. Ila comments hizi zinaonesha kuna shida kwenye bongo zenu.Esther Matiko dhamana akipewa atimue mbio akawakumbatie polisi awaombe wampe ulinzi hadi nyumbani huyo mkware Mbowe asije mngangania ukitilia maanani kakaa ndani muda mrefu ana usongo.
Jamani tupeni update ya mahakamani hapoBREAKING NEWS .....
Mahakama kuu ya Tanzania masijala ya Dar es Salaam chini ya Jaji Rumanyika yatengua uamuzi wa mahakama ya hakimu mkazi kisutu wa kufuta dhamana za Mhe Freeman Mbowe na Mhe Esther Matiko. Mahakama hiyo imeeleza kusikitishwa na ufutaji wa dhamana hizo na kuzitaka mahakama za chini zijionye kabla ya kufikia maamuzi yasio ya haki na kikatiba.
Sent using Jamii Forums mobile app