Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe na mbunge Esther Matiko waachiwa kwa dhamana baada ya kushinda rufaa ya dhamana

Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe na mbunge Esther Matiko waachiwa kwa dhamana baada ya kushinda rufaa ya dhamana

Nimeisoma. Hapo kama ulivyosema, inategemea sana na nia ya hakimu mwenye kutoa maamuzi. Kumbuka kama nia ni ovu or vice versa, kutatafutwa any technical errors (regardless of impacts on the matter) ili tu ku justify na mwisho kutoa maamuzi. And I hope the same was done to reach to conclusions on this. But you can't point out any wrong doing on the conclusion.

NB: Nimejadili nikiwa neutral, just for the matter of discussion. Kiukweli hakimu angeweza kutazama kwamba kosa la kukiuka dhamana si kubwa kiasi hicho na kwa sababu zilizotolewa na wahusika "ugonjwa'" angeweza kuamua vinginevyo.

Sent using Jamii Forums mobile app
Asante, nakuombea uende mpaja uwe Justice of appeal kama uko kwenye legal profession!
 
Uwezekano wa Mbowe kushinda hii kesi ni mdogo kwa kuwa dharau alizofanya zilikuwa za wazi kabisa akitegemea mabwana wake wa Brussels ( EU ) watamtetea, acha apate anacho stahili iwe fundisho kwa wote pia.
Mabwana unao wew wanakugonga nyuma.
 
Mimi nina wasiwasi na Afya ya Mwenyekiti akitoka anatakiwa apime damu haraka inawezekana kabisa keshalishwa sumu,juzi wamejifanya kuwapima Wafungwa HIV kama na yeye alikuwemo lilikuwa Lengo la kujua stage ya Sumu.
Kwani mwenyekiti mmeshamhukumu kifungo hadi umuite kuwa ni mfungwa
 
KWAHIYO UNATAKA AUGUE AU???
Akiwa mzima tabu,akiugua tabu
 
Liko wazi hilo MBONA ilkuwa Mbowe awe ndani ili Lowasa arudi ccm, kuzima nguvu ya Membe. Mjamaa anawahitaji sana Rostam na Lowasa ili afanikiwe kisiasa, kumbuka keshavuruga Makundi mengi hasa wafanyabiashara
 
Ilikuwa nikila tarehe ya kusikilizwa kesi inayowakabili viongozi wa chadema inapofika,huyu bwana mkubwa tulikuwa tunaambiwa kalazwa anaumwa.
Tangu kawekwa kolokoloni sioni akiwa mahututi tarehe za kusikiliza rufaa yake,na pingamizi la rufaa yake.
Kumbe akiwa ndani haugui,naona nipazuri,panafaa aendelee kukaa ili kesi inayowakabili iende haraka.

ungekuwa s.africa siku nyingi marinda huna kwa kuongea utumbo wa samaki
 
Umebaki kwako, mbona kuna siku alishindwa kuja mahakani afya yake haikuwa poa?
 
Wasalaam, habari za kuaminika kutoka chanzo cha uhakika zinaeleza kuwa kwa sasa mh mbowe na ester matiko watapatiwa dhamana hivi karibuni. Habari zinaeleza kwamba lengo la kwasotesha ndani lilikua kutimiza mission mbowe akae ndani ili mh lowassa akusanye siri na mikakati ya chadema na kuipeleka ccm. Kwa kuwa mission imetimia inaelezwa ccm wameshaielekeza mahakama iwapatie dhamana washitakiwa hao na hakika itawapatia, kwani sote tunatambua mahakama zetu ni tiifu kwa chama dola na hufanya kazi kwa shinikizo kutoka nyumba kuu
Kwani Chadema wana siri gani hadi Mbowe aondolewe Ufipa ndio siri zichukuliwe?!!
 
Wasalaam, habari za kuaminika kutoka chanzo cha uhakika zinaeleza kuwa kwa sasa mh mbowe na ester matiko watapatiwa dhamana hivi karibuni. Habari zinaeleza kwamba lengo la kwasotesha ndani lilikua kutimiza mission mbowe akae ndani ili mh lowassa akusanye siri na mikakati ya chadema na kuipeleka ccm. Kwa kuwa mission imetimia inaelezwa ccm wameshaielekeza mahakama iwapatie dhamana washitakiwa hao na hakika itawapatia, kwani sote tunatambua mahakama zetu ni tiifu kwa chama dola na hufanya kazi kwa shinikizo kutoka nyumba kuu
Viongoz wanao waonea watu wamejisajil kwa shetani huwa nawashangaa wakiingia kwenye nyumba za ibada cjui wanaenda kufanya nini?
 
Umefaidikaje kukaa kwake Ndani?
nenda ukamshauri aache kudharau mahakama atapotea yule nyau wenu, chini ya magufuli sheria zinafuatwa na kuheshimiwa, magu sio mkwele. wakati anavunja sheria mlikua wapi kumrudisha kwenye reli sahz mnaishia kutia huruma.

yule kama akiachiwa tena kwa dhamana itakua ni huruma tu ya mahakama imemshukia otherwise boss wenu hatoki hadi kesi ya msingi iishe
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Yani mtu umpe kugombea urais, kwamba anaenda kuwa rais wa nchi alafu usimpe siri na mikakati yenu? Kwa chadema ipi?

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa akili yako unafikiri hata Magufuli alikuwa anajua kila kitu kuhusu ccm Mara tu alupoteuliwa kuwa mgombea? Huijui Party system running kaa kimya tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mahakama Kuu Masijala ya Dar es Salaam leo Alhamis Machi 7, 2019 inatarajiwa kutoa hukumu kwenye maombi ya rufaa yaliyowasilishwa mahakamani hapo na Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa (Mb) na Esther Matiko (Mb) wakipinga uamuzi wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kuwafutia dhamana kwenye kesi na. 112/2018 inayowakabili baadhi ya voingozi wakuu wa Chama na wabunge 7 wa CHADEMA.
______________________
Update..
Hukumu ya Rufaa ya dhamana ya Freeman Mbowe pamoja Esther Matiko itaanza kusoma majira ya saa saba mchana

Tuambie ni nini kinachoendelea maana saa saba tayari.
 
nenda ukamshauri aache kudharau mahakama atapotea yule nyau wenu, chini ya magufuli sheria zinafuatwa na kuheshimiwa, magu sio mkwele. wakati anavunja sheria mlikua wapi kumrudisha kwenye reli sahz mnaishia kutia huruma.

yule kama akiachiwa tena kwa dhamana itakua ni huruma tu ya mahakama imemshukia otherwise boss wenu hatoki hadi kesi ya msingi iishe
Kama ni kuvunja sheria watu wengi tu wanavunja sheria. huna sababu ya kumdhihaki binadamu mwenzio kwa kumuita nyau kaumbwa kwa udongo kama wewe. haya ni mapito anapitia na iko siku yataisha. matatizo na taabu tumeumbiwa binadamu wote.hapa tunapita tuu.
 
watakuwa wamejifunza ngoja wakapate hewa ya uraiani kidogo wakileta jeuri wanarudi tena
 
Back
Top Bottom