Miss Madeko
JF-Expert Member
- Apr 30, 2014
- 4,364
- 5,609
Peoplezzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzz ndio maana nasikia mapikipiki eeeeee Power
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kamanda mbona unamhujumu Zitto Kigoma,kwa maslahi ya nani?BREAKING NEWS .....
Mahakama kuu ya Tanzania masijala ya Dar es Salaam chini ya Jaji Rumanyika yatengua uamuzi wa mahakama ya hakimu mkazi kisutu wa kufuta dhamana za Mhe Freeman Mbowe na Mhe Esther Matiko. Mahakama hiyo imeeleza kusikitishwa na ufutaji wa dhamana hizo na kuzitaka mahakama za chini zijionye kabla ya kufikia maamuzi yasio ya haki na kikatiba.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni aibu kubwa sana kwa Jaji Mkuu na ni aibu kubwa sana kwa Wilbard Mashauri na familia yake
Jibu Muafaka!...nilitaka nianze umenijibiaKwa hiyo rafiki yako akiwa anakazwa na basha wake utataka ukazwe wewe!? Yaani dharau ifanyiwe mahakama kuumia uumie wewe!? Au uko ofisini kwa DPP!?
We acha hiyioooooo!!Karibuni makamanda japo mliukosa msiba wa Ruge ila mmekutana na msiba wa Kibonde...karibuni sana makamanda
Sent using Jamii Forums mobile app
jiwe kesha mpandisha cheo hakimu mashauri na kuwa jaji.BREAKING NEWS .....
Mahakama kuu ya Tanzania masijala ya Dar es Salaam chini ya Jaji Rumanyika yatengua uamuzi wa mahakama ya hakimu mkazi kisutu wa kufuta dhamana za Mhe Freeman Mbowe na Mhe Esther Matiko. Mahakama hiyo imeeleza kusikitishwa na ufutaji wa dhamana hizo na kuzitaka mahakama za chini zijionye kabla ya kufikia maamuzi yasio ya haki na kikatiba.
Sent using Jamii Forums mobile app
BREAKING NEWS .....
Mahakama kuu ya Tanzania masijala ya Dar es Salaam chini ya Jaji Rumanyika yatengua uamuzi wa mahakama ya hakimu mkazi kisutu wa kufuta dhamana za Mhe Freeman Mbowe na Mhe Esther Matiko. Mahakama hiyo imeeleza kusikitishwa na ufutaji wa dhamana hizo na kuzitaka mahakama za chini zijionye kabla ya kufikia maamuzi yasio ya haki na kikatiba.
Sent using Jamii Forums mobile app
Na Yule aliempa Kitanzi Mwalimu Muuaji.Mungu ambariki sana Jaji Rumanyika
Wilbard mashauri mjinga anaendekeza tumbo lake hana reference ya kisheria sasa kawa jaji ndio aendelee kutunisha mtumbo wake kwa tamaa ya madaraka mpuuzi kabisa Mungu amlaani yeye na kizazi chakeNi aibu kubwa sana kwa Jaji Mkuu na ni aibu kubwa sana kwa Wilbard Mashauri na familia yake
Matiko😎Nahisi Mbowe na matiako watakuwa wametia akili kwa sasa. Wamwache aje kupambana na Lissu.