TANZIA Mwenyekiti wa CHADEMA Mkoa wa Geita, Alphonce Mawazo auawa kikatili mjini Katoro

Status
Not open for further replies.

Kifai

JF-Expert Member
Joined
Jan 18, 2013
Posts
816
Reaction score
173
Wakuu,

Aliyekuwa mgombea ubunge wa jimbo la Busanda kupitia CHADEMA bwana Alphonce Mawazo afariki dunia leo.Chanzo cha kifo chake ni kutokana na kipigo kikali kutoka kwa kundi la vijana linalosemekana ni la green guard jana wakati akifanya kampeni kumnadi diwani wake.

Kamanda Mawazo pia ni mwenyekiti wa CHADEMA mkoa wa Geita.

Kamanda Mawazo pia alikuwa ni member wa JamiiForums (Verified Member) kwa jina lake halisi la Alphonce Mawazo.





Baadhi ya Mada alizowahi kuanzisha Marehemu Alphonse mawazo hapa JamiiForums ni:-

1. https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...vyozuia-harakati-na-kuua-ndoto-za-vijana.html

2. https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...-la-rorya-jioni-hii-kwa-operation-5-days.html

3. https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...on-tigitigi-kwa-mikoa-mitano-yazinduliwa.html

4. https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/693849-tatizo-la-ngombe-ni-kumpuuza-kupe-maishani.html


Mada juu ya Maoni ya Godbless Lema baada ya kifo cha Alphonce Mawazo - https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...wazo-ameuawa-na-mfumo-wa-jeshi-la-polisi.html

======

UPDATES

========

Washitakiwa wahukumiwa kifo. Zaidi soma:


 
Tulia uandike vyema. Kisa nini? Hali yake inaendeleaje? Je tukio limetokeaje?
 
Alikuwa kwenye kampeni za kumnadi mgombea udiwani katoro, ndipo walipotokea vijana wa ccm wakawazidi nguvu red bregedia na kumpiga kamanda huyu mawazo
 
Mwenyekiti wa chadema mkoa wa geita na aliyekuwa anagombea ubunge kupitia chadema jimbo la busanda mkoani geita ajeruhiwa vibaya katika mji mdogo wa katoro na watu wanaosadikika ni vijana wa ccm

Hamjishughulishi na kueleza chanzo cha tukio, mazingira ya hilo tukio, mnachoona ni sahihi kwenu ni kusema "wanaosadikiwa kuwa vijana wa ccm"
 
Sad News: Mwenyekiti wa Chadema Mkoa wa Geita, Alfonse Mawazo amevamiwa na kuuawa...
mwenye habari zaidi atujuze mimi nime copy na ku paste tu
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…