TANZIA Mwenyekiti wa CHADEMA Mkoa wa Geita, Alphonce Mawazo auawa kikatili mjini Katoro

TANZIA Mwenyekiti wa CHADEMA Mkoa wa Geita, Alphonce Mawazo auawa kikatili mjini Katoro

Status
Not open for further replies.
No,kama ni kweli polisi wanahusika amepambana nao sana,lakini kwa kweli kazi ameifanya na kama taarifa hizi ni kweli basi apumzike kwa amani ya Bwana wetu Yesu Kristo
 
Machozi yananitoka.....harakati za ukombozi Tanzania ni safari ndefu...
Alikuwa Mwenyekiti Mkoa Wa geita
Inasemekana alipigwa na mapanga na nyundo na Vijana Wa Green Gad
 
Mwanakijiji Huyo atakua msukuma haiwezekani Mawazo avamiwe na majambazi na auwawe lazima kuna kitu nyuma ya pazi
 
Rip mawazo,dah inasikitisha sana kwa kweli,hakika utaishi daima mioyoni mwetu
 
Nakumbuka hata mgombea ubunge Geita mjini alishasema kuwa wana harakati wote wa upinzani kanda ya ziwa wanawindwa sana..ni kwamba kitengo wanataka kufuta kabisa upinzani mkoani Geita na kanda yote ya ziwa ambapo mkuu anatoka
 
Mhuu!!!! Kisa siasa au kuna sababu zingine?
 
We unayejiita SHOST tafadhali badilisha hiyo picha, ulivyo hapo ni zaidi ya shetani please unatukwaza
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom