TANZIA Mwenyekiti wa CHADEMA Mkoa wa Geita, Alphonce Mawazo auawa kikatili mjini Katoro

TANZIA Mwenyekiti wa CHADEMA Mkoa wa Geita, Alphonce Mawazo auawa kikatili mjini Katoro

Status
Not open for further replies.
Rip, isije ikawa kavamiwa na Mawakala wanaodai pesa zao wakadhani Ndg Mwenyekiti kazila kumbe Mtaa ufipa hawakuzituma kama ilivyotokea Rukwa, Njombe na Ruvuma
 
Ni ujinga kila tukio kulihusisha na siasa,nani anayajua maisha yake nyuma ya pazia.
Tusubili tuwe na uhakika na chanzo cha kifo chake.
RIP KAMANDA wewe mbele sisi nyuma.
 
Turudie mfumo wa chama kimoja,ccm haippo tayari kukubali vyama vingi
 
Aliyekuwa mgombea ubunge wa jimbo la buchosa kupitia chadema afariki dunia leo.

Chanzo cha kifo chake ni kutokana na kipigo kikali kutoka kwa kundi la vijana linalosemekana ni la green guard jana wakati akifanya kampeni kumnadi diwani wake.

Taarifa kamili tutawaleteaa!!!
Uchochezi tu. Una uhakika ni vijana wa Green Guard? Taarifa kama hizi ni za kuleta ukiwa na uhakika na mambo ya inasemekana moja kwa moja inaonekana kama unachochea moto. Marehemu apumzike kwa amani na wote waliohusika na kifo chake sheria ichukue mkondo wake!
 
Naiombea Amani Tanzania yetu, atuepushe na siasa hizi tunazoanza kuzishuhudia... Wote tunashindana ili kujenga nyumba moja Tanzania.... Vijana acheni kutumika kwa watu wa maslahi binafsi,
Imagine wewe unamtoa uhai mwenzio kisa unamtetea mtu fulani apate nafasi fulani.
Je mnapopishana yeye akienda huko mjengoni na wewe gerezani, hapo umepata nini?????
Umewaachia shida wategemezi wako kisa posho ya kampeni au ukada wa Chama fulani, not fare walaaniwe Wote Wanaoharibu Jina la nchi yetu
R. I. P shupavu wa demokrasia ya kweli Alphonce mawazo (kama habari hii ni ya kweli)
 
CCM wanataka madaraka kwa gharama yoyote ile hata kwa damu ya watu ndio maana zenji hawakubari kuachia mpaka damu imwagike
 
Dhaaa, hawa jamaa wanataka nini. Tutaanza kuwana wenyewe kwa wenyewe. Kama ni vita wacha iwe vita. Rest in peace kamanda.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom