Odhiambo cairo
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 15,989
- 22,078
Rip mawazo,dah inasikitisha sana kwa kweli,hakika utaishi daima mioyoni mwetu
Hata na wewe ??????!! Basi kifo ni kibaya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Rip mawazo,dah inasikitisha sana kwa kweli,hakika utaishi daima mioyoni mwetu
Rekebisha post yako haraka. Je una uhakika gani kama ni vijana wa green guard???? Hujui inawezekana alipewa hela na timu mamvi ili agawe kama rushwa maana kila mkoa mamvi aligawa pesa za kuhonga wapiga kura (50,000). Sasa yeye kama alikula na wenyewe wameenda kuchukua roho yao. Na kwa huu mtindo wengi mamvi atawamaliza maana wengi waliopewa hela zake hawakuzifikisha kwa wananchiMachozi yananitoka.....harakati za ukombozi Tanzania ni safari ndefu...
Alikuwa Mwenyekiti Mkoa Wa geita
Inasemekana alipigwa na mapanga na nyundo na Vijana Wa Green Gad
Masikitiko kwenu yatoke wapi? si umesikia ni vijana wenu wa green guard ktk kutetea maslahi ya chama chenu?
Lakini yana mwisho!!
Tatizo ninini ni majambarika au ccm wamemuua
Machozi yananitoka.....harakati za ukombozi Tanzania ni safari ndefu...
Alikuwa Mwenyekiti Mkoa Wa geita
Inasemekana alipigwa na mapanga na nyundo na Vijana Wa Green Gad
Rekebisha post yako haraka. Je una uhakika gani kama ni vijana wa green guard???? Hujui inawezekana alipewa hela na timu mamvi ili agawe kama rushwa maana kila mkoa mamvi aligawa pesa za kuhonga wapiga kura (50,000). Sasa yeye kama alikula na wenyewe wameenda kuchukua roho yao. Na kwa huu mtindo wengi mamvi atawamaliza maana wengi waliopewa hela zake hawakuzifikisha kwa wananchi
Rekebisha post yako haraka. Je una uhakika gani kama ni vijana wa green guard???? Hujui inawezekana alipewa hela na timu mamvi ili agawe kama rushwa maana kila mkoa mamvi aligawa pesa za kuhonga wapiga kura (50,000). Sasa yeye kama alikula na wenyewe wameenda kuchukua roho yao. Na kwa huu mtindo wengi mamvi atawamaliza maana wengi waliopewa hela zake hawakuzifikisha kwa wananchi