TANZIA Mwenyekiti wa CHADEMA Mkoa wa Geita, Alphonce Mawazo auawa kikatili mjini Katoro

TANZIA Mwenyekiti wa CHADEMA Mkoa wa Geita, Alphonce Mawazo auawa kikatili mjini Katoro

Status
Not open for further replies.
Kwanini Lakini? Mimi Pindi Ninaposikia Habari Kama Hizi Huwa Roho Yangu Inasononeka Sana, Viongozi Wa Chama Upole Umezidi, Ebu Fanyeni Mpango Tushikanepo Mashati Kidogo
 
Tanzania naiona itakavyokuwa mbaya badae
Pia kuna baadhi ya wana ccm watafuraiya hali hii
 
Kifo hiki kinaweza kupelekea chuki mbaya sana ,, Dhidi ya vyama hivi viwili, ,
 
Duuuuh!Nimepigiwa simu sasa hivi kutoka Geita kuhusu huu msiba.
RIP kamanda Mawazo.
 
ImageUploadedByJamiiForums1447509144.116029.jpg
Hapa ni wakati akipatiwa huduma ya matibabu baada ya kushambuliwa. Hii ni dalili mbaya kwa uongozi ulioingia ikiwa mambo kama haya yanatokea nyumbani kwa kiongozi mkuu
 
Kama chadema Itakaa kimya basi hata wafuasi inabidi Siasa iwekwe kando tuu mana saa yoyote unaeza end a
 
Hawa watu hawana tofauti na ISS. Matokeo wametangaza kwa mtutu baadhi ya majimbo....zanzibar wakasitisha matokeo....tukakaa kimyaaa ili amani itamalaki....hatujakaa sawa hata tusahau yaliyotusibu leo mnatuua mmoja baada ya mwingine!....mmemuua Mawazo!... Kova nakuuliza nani kamuua Mawazoo?
 
Nakumbuka hata mgombea ubunge Geita mjini alishasema kuwa wana harakati wote wa upinzani kanda ya ziwa wanawindwa sana..ni kwamba kitengo wanataka kufuta kabisa upinzani mkoani Geita na kanda yote ya ziwa ambapo mkuu anatoka

Watafutika wao
 
Innalillah wainnailaih raju'un(sisi sote ni wa mwenyezi mungu na kwake tutarejea.}
 
Kwanini Lakini? Mimi Pindi Ninaposikia Habari Kama Hizi Huwa Roho Yangu Inasononeka Sana, Viongozi Wa Chama Upole Umezidi, Ebu Fanyeni Mpango Tushikanepo Mashati Kidogo
Kweli sijui viongozi wanashikwa na kigugumizi gani.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom