TANZIA Mwenyekiti wa CHADEMA Mkoa wa Geita, Alphonce Mawazo auawa kikatili mjini Katoro

TANZIA Mwenyekiti wa CHADEMA Mkoa wa Geita, Alphonce Mawazo auawa kikatili mjini Katoro

Status
Not open for further replies.
Ni huzuni kubwa sana kwetu wana ukawa kumpoteza kamanda MAWAZO kwa kifo cha kinyama namna hii, hatuna la kusema ila tuna kuahidi kuendeleza pale ulipo achia. Mwenyezi Mungu lipa kwa hila hizi zinazofanywa na watu wasiopenda haki. Amen.
 
Tunamtakia nini wakati tumesha shinda uchaguzi, eti ccm wamehusika, wewe una akili timamu kweli?Nyie kama mlizulumiana mtajijua wenyewe. Njaa zenu zitawafanya mmalizane.
 
Jamii forum kila dakika wanatoa uzi wa alphonce mawazo..badilikeni.watu wanahitaji kujadili
 
Kweli jamani nasikiliza radio ya storm fm geita wametangaza habari mpasuko rip kamanda
 
New episode baada ya kutangazwa rais let's watch!!
 
kwa kweli machozi yananitoka,tutauwaa hivi mpk lini? kwann lakini?
 
Tunamtakia nini wakati tumesha shinda uchaguzi, eti ccm wamehusika, wewe una akili timamu kweli?Nyie kama mlizulumiana mtajijua wenyewe. Njaa zenu zitawafanya mmalizane.

Acha kuropoka ww,kuna uchaguz mdogo unafanyka wa diwan hiki n kpnd cha kampen
 
Ilikuwa asbh saa 5 akavamiwa na vijana wa CCM green guard wakati anajiaandaa kufanya kampeni za uchaguzi mdogo wa udiwani mji mdogo wa Katoro,na waliomuua wanajulikana na hakuna aliyekamatwa....ccm hacheni masihala mnaleta maafa
 
Rekebisha post yako haraka. Je una uhakika gani kama ni vijana wa green guard???? Hujui inawezekana alipewa hela na timu mamvi ili agawe kama rushwa maana kila mkoa mamvi aligawa pesa za kuhonga wapiga kura (50,000). Sasa yeye kama alikula na wenyewe wameenda kuchukua roho yao. Na kwa huu mtindo wengi mamvi atawamaliza maana wengi waliopewa hela zake hawakuzifikisha kwa wananchi

Tarime mliua, Rorya mlimpiga mtu risasi, Tunduma mliua na leo Geita mmeua !!!!? Uchaguzi mkishindwa mnagomea matokeo (Zanzibar). Mungu mwenyewe ataamua kuhusu kesi hizi
 
Na kampeni zote zile ccm waje wamuue uchaguzi umeshapita na wameshinda?,aah wapi hapa kuna kitu,wote mliokula pesa ya laigwanan kaeni chonjo,,,
 
Nasikia kavamiwa na kukatwakatwa na chama kimoja cha siasa.
Kama ni kweli tusubiri kuzalisha magaidi nchini kwa mujibu wa Isango-facebook.
Magaidi ni wanademokrasia waliokandamizwa.
Hii haifai kabisa.
Serikali twawaomba kuwaridhisha wafiwa kwa kuwasaka na kuwashughulikia wauaji.
 
Rekebisha post yako haraka. Je una uhakika gani kama ni vijana wa green guard???? Hujui inawezekana alipewa hela na timu mamvi ili agawe kama rushwa maana kila mkoa mamvi aligawa pesa za kuhonga wapiga kura (50,000). Sasa yeye kama alikula na wenyewe wameenda kuchukua roho yao. Na kwa huu mtindo wengi mamvi atawamaliza maana wengi waliopewa hela zake hawakuzifikisha kwa wananchi
Unatakiwa uisadie polisi.
 
ni aibu na huzuni kwa watanzania kuuana sababu ya siasa hao watu waliohusika inabidi wasakwe popote na sheria iachwe ichukue mkondo hili ni tukio la kulaaniwa na kila mtanzania
 
Kova...kabla ya mazishi ya kamanda Mawozo waliomuua wawe wamekamatwa na kufikishwa mbele ya vyombo vya sheria.

Inasikitisha sana kuwa vurugu za kipuuzi zinapoteza uhai wa raslimali muhimu za taifa.
Ila nikusahihishe kuwa Kova hana mamlaka y kiutendaji huko lilikotokea tukio.
Kuna "Kova" mwingine wa huko ndo anawajibika na ujumbe wako
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom