TANZIA Mwenyekiti wa CHADEMA Mkoa wa Geita, Alphonce Mawazo auawa kikatili mjini Katoro

TANZIA Mwenyekiti wa CHADEMA Mkoa wa Geita, Alphonce Mawazo auawa kikatili mjini Katoro

Status
Not open for further replies.
Hivi viongozi wetu mtakaa kimya huku wafuasi wenu tunauwawa bila hatia? hapanahapanhapana lazima kifanyike kitu!
 
Kwa mwenye Akili ndogo ndio mwenye uwezo wa kulikubali hili la kuhusika kwa Green Gurd, lakini wenye upeo mkubwa wa kupambanua Mambo tunakaa kimya
 
Bushit.....hili jambo kama ni kweli halivumiliki jeshi la polisi lichukue nafasi yake haraka iwezekanavyo
 
attachment.php
 

Attachments

  • Mawazo.jpg
    Mawazo.jpg
    27.2 KB · Views: 1,230
Dah❕➖kamanda Mawazo huyu huyu❕❕❕➖can't believe
 
Ndiye yule alimkodishiaga vijana Zitto wamzomee Katoro halafu akakimbilia kuanzisha uzi JF?
 
Dah jaman Mungu ampokee mahali pema Pumzika kwa Aman Alphoce dah nenda Alphoce tupo nyuma yako kaka tutayaenzi mazuri yote
 
RIP Kamanda ! ccm militias tuone kama ccm na jpjm watasema kitu
 
Rekebisha post yako haraka. Je una uhakika gani kama ni vijana wa green guard???? Hujui inawezekana alipewa hela na timu mamvi ili agawe kama rushwa maana kila mkoa mamvi aligawa pesa za kuhonga wapiga kura (50,000). Sasa yeye kama alikula na wenyewe wameenda kuchukua roho yao. Na kwa huu mtindo wengi mamvi atawamaliza maana wengi waliopewa hela zake hawakuzifikisha kwa wananchi

Ukila hela ya mamvi basi ni shidaa.
 
Pumzika kamanda mawazo. Wamekuua ili mbunge aliyepita kwa wizi asipate pingamizi mahakamani. Kwani pingamizi lilishawekwa ivyo mbunge wa sasaCCM akaogopa iwapo matokeo yakatenguliwa ataanguka. Hizo ndio pesa za Escrow zinafanya kazi.
Ila akumbuke kila kitu kina mwisho. Amebaki kuwa mbunge na pingamizi halina tena nguvu
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom