TANZIA Mwenyekiti wa CHADEMA Mkoa wa Geita, Alphonce Mawazo auawa kikatili mjini Katoro

TANZIA Mwenyekiti wa CHADEMA Mkoa wa Geita, Alphonce Mawazo auawa kikatili mjini Katoro

Status
Not open for further replies.
Acha kulia kamanda jiandae tu, huenda viongozi wetu wakatoa tamko la kudai haki.Kilio tuwaachie watoto!
Mimi kifo hiki kimenifanya niichukie AMANI, sasa nataka VITA, tangazeni tuanze mapambano! Sitaki tena AMANI, naichukia sana!
 
Shujaa ameondoka, akiwa juu jukwaani,
Pambano la uhakika, likiwa bado matatani,
Majahili yenye shoka, mapanga na uhayawani,
Kweli umetokwa roho, Shujaa umelala chini!

Ulipotoka Arusha, Mwanza ukajikita,
Vijana uliwakosha, kwa semi zenye kumeta,
Ujasiri ukawasha, wakawa kama ukuta,
Kweli umetokwa roho, Shujaa umelala chini!

Nilipokuona kwanza, nilidhani ni Samora,
Mawazo yakaangaza, Ukombozi ulo bora,
Zama za mwangaza, Mapambano yenye sura,
Kweli umetokwa roho, Shujaa umelala chini!

Nashindwa kusema sana, rohoni nina huzuni,
Japo ulikwisha nena, tuchukue yako thamani,
Mapambano yenye kina, yatokemeze wahaini,
Wanaodhani Tanzania, ni mali ya vitukuu vyao.

Utenzi mzuri kwa marehemu nina hakika alichokiazisha kitaendelezwa!
 
why lakini

why tunaonewa hivi nchini kwetu

nchi ni yetu sote hii
 
Labda nikuulize ni tukio la ngapi kwa wapinzani wa CCM hasa wanachama na viongozi wa CHADEMA kuumizwa na kuuawa? kama ni uvumilivu kwa sasa unatosha kwani CCM wametunyanyasa vya kutosha na isitoshe hadi wametunyang'anya ushindi wa Ubunge, Udiwani maeneo mengi bila kusahau nafasi ya URAIS, kwa sasa nafikiri inatosa kwa yeyote mwenye uwezo wa kutenda lililo jema kwa kulipa kwa alichofanyiwa ALPHONSE MAWAZO(R.IP) na afanye hivyo ili kulipia damu hii isiende bure kwani polisi hawapo tayari kutetea wapinzani wao wanaitetea CCM tu hivyo wapinzani tujilinde na kujitetea wenyewe OVER!!!
Tangulia wewe na mkeo kwanza mkalipe hiyo damu ndo tufuate na sisi. Siyo porojo tu then linapotokea la kutokea nyie ndo wa kwanza kutafutwa kwenye vungu za vitanda na vyooni. Hakuna anayependa uonevu, but lazima ujiridhishe kwanza labla ya kutuhumu... dababu inaweza kuwa visasi na mengine mengi labda usoyajua.. usikoment just kama fisi, unaparamia tu ilimradi umenusa harufu ya mzoga, harufu nyingine hazina uhalisia. Ni hayo tu.
 
Busara inahitajika katika kipindi hiki kigumu ndugu zangu.

Nyie mlioko nyuma ya keyboard mnahamasisha tusivumilie tulipize kisasi anzeni nyie kwa kutaja majina yenu halisi hapa ili tuwaone sio waoga mmechoka...

Tusubiri ripoti ya polisi...tusihukumu harakaharaka...
Mimi naitwa JACOB URASSA, niko SOMBETINI ARUSHA, sitaki tena AMANI, wala UVUMILIVU, nataka tutandikane ile heshima, kuvumiliana kuwepo huko Mbeleni!
 
Inauma Sana.RIP kamanda. Mungu atajibu muda si mrefu. Maana yana mwisho.
 
Hali ninayoiona inahitaji siku ya kesho isiishe bila kauli ya Mhe. Dr. Magufuli kwakuwa yeye ndo Waziri Mkuu na Waziri wa mambo ya ndani, waziri wa sheria na katiba nk. Akikaa kimya kesho upo uwezekano wa kuja kutoa kauli hali ikiwa mbaya.
 
Tulisema haya makundi ya redbrigade itakuwaje wakizidiwa nguvu hamkuelewa, serikali ikinunua vitendea kazi munaponda, ifike sehemu tuseme siasa basi.
 
Hatuwezi kusema pole yakaishia hapo! Ni lazima tuelewe kuwa kutokana na siasa za kihuni za wana CCM maisha ya binadamu yamegharamika!

Tutachukua hatua kali ili siku wakiwaona wengine wapate mbali! Ni lazima waujutie uhuni wao huo!

Tutawakomesha kwa uchu na njaa kali!!!

Wameshazoea. Viongoz wakilifumbia macho makanda watamalizwa.
 
Mawazo damu yako haitamwagika bure, Lazima nitaonyesha mfano, Watanzania wamezoea kila jambo linapita tu! Mimi nasema hili la kwako halitapita tu! Lazima tuionyeshe dunia kuwa tumechukizwa na ukatili huu! Niko tayari kuusalimisha uhai wangu, lakini dunia itajua tu! MAWAZO umekatiliwa maisha yako!!!

Take with you as many as you can and God bless you.Unawaza kifanya kitendo cha kurudisha utu wetu, Mungu akutangulie!
 
Imeniharibia kabisa siku yangu hii habari,hivi ni kwa nini umuue mwenzio kisa siasa?nimeumia sana kwa kweli
R.I.P bratha
 
Hali ninayoiona inahitaji siku ya kesho isiishe bila kauli ya Mhe. Dr. Magufuli kwakuwa yeye ndo Waziri Mkuu na Waziri wa mambo ya ndani, waziri wa sheria na katiba nk. Akikaa kimya kesho upo uwezekano wa kuja kutoa kauli hali ikiwa mbaya.
Huna huo ubavu, mtendaji wa kijiji atalitolea ufafanuzi.
 
Huu upumbavu hauvumiliki hata tone! Bora kufa kuliko kushuhudia upuuzi wa dizaini hii TANZANIA!

Sioni thamani ya maisha Tanzania!
 
Imeniuma sana. Kisa siasa. No way. Hao waliomuua wataishi milele? RIP KAMAMDA.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom