Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona watu wamekuwa kama wanyama pori WA Serengeti hawana hata ufahamu WA kibinadamu? Natumaini hao wahalifu watashughulikiwa na sheria r.i.p kamanda
mbona Tanzania imebadilika hivi??ndiyo Tanzania ile nayoifahamu mimi kisiwa cha amani na kuvumiliana au Ni nchi mpya hii ?? Uwiiiiiiii mpaka machozi yananitoka. Justice should prevail.
Geita wamezoea kuuana.
Wewe ndo hufai kuitwa binadamu. Wapi nimeandika mpinzani haki yake kaburi?.. kama hujui kusoma omba msaada kwa jirani au kwa konda kama uko ndani ya daladalaUnavyo wajibu wenzako as if aliyeuawa si binadamu kama wewe.Angalia chuki haijengi bali kubomoa.Hakuna mahali kwenye katiba nimesema.ukiwa upinzani basi haki yako ni kaburi.Kama binadamu inasikitisha.Wala hufai kuitwa hivyo
Hao vijana wamelipwa kufanya mauaji hayo.Na polisi wanafahamu.ndiyo sababu hawakufika hata kwenye tukio kupata Maelezo ya kifo hicho.Ila amekufa kifo Kibaha mno hakifai kuelezea.so sad tuko kwenye kipindi kigumu sana kwa wakati huu lazima ujiulize kwanini itokee wakati huu .siasa za zanzibar bado ,mh lowasa anatoa statement kesho kisiasa hii ina tafsiri kubwa ,tafsiri yake ni kuwa ule mkazo wa kimawazo uhame kwa kuwa kuna tukio tayari limetokea ,swali ni je hawa green guard watachukuliwa hatua gani dhidi ya unyama waliotenda ,na je nani atasimamia hili,tunasikitika kwa kitendo hiki kiovu