Malaika Mkuu
JF-Expert Member
- Nov 5, 2014
- 902
- 909
Na huko makaburini tuimbe 'FREDOOM IS COMING TOMORROW'
Khatwe na insokozi ni ac moja
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na huko makaburini tuimbe 'FREDOOM IS COMING TOMORROW'
Alifanya nini la kuwa hero?
Mbona hakupata Ubunge?Acheni Porojo fanyeni kazi.
Hivi watu humu mna dini? Mliona wapi Mungu anapangiwa kazi za kulipiza visasi!? Kama mnataka kulipiza visasi dhidi ya hao mnao wahisi wamefanya hilo tukio basi hukumu hiyo iwe mikononi mwenu na wala msimuhuhusihe Mungu na hatua mtakazo zichukua au zitakazo chukuliwa kwa waliotenda huo ukatili.
Tumuogope Mungu na jina lake lisitajwe kimzaha mzaha.
Mbona kamanda Chacha Wangwe hakuzikwa kitaifa na chama wakati alikuwa makamu mwenyekiti wa chama. Mpaka leo hata familia yake mmeitelekeza bila msaada wowote. Acheni uhuni huu.
Alifanya nini la kuwa hero?
Mbona hakupata Ubunge?Acheni Porojo fanyeni kazi.
Aliyekuwa mgombea ubunge wa jimbo la Busanda kupitia CHADEMA bwana Alphonce Mawazo afariki dunia leo.
Chanzo cha kifo chake ni kutokana na kipigo kikali kutoka kwa kundi la vijana linalosemekana ni la green guard jana wakati akifanya kampeni kumnadi diwani wake.
Kamanda Mawazo pia ni mwenyekiti wa CHADEMA mkoa wa Geita.
Kamanda Mawazo pia alikuwa ni member wa JamiiForums (Verified Member)
![]()
![]()
Mnamwachia Mungu yupi ilhali list inaendelea.Kagenzi.Yule mwandishi wa gazeti la Uhuru aliyekula kichapo kutoka Red Brigade ofisi za CDM Makao Makuu.Acheni unafiki.hizi laana zinachosha tokaDr mvungiDr Ulimboka KibandaMwangosiTukio la SowetoMoses Machali na KiwiaMch.Mtikilahizi laana zote hawa watu wangekuwa vichaa na watoto waokweli sisi tunamwachia Mungu kila kitu
Khatwe na insokozi ni ac moja
Ili nielewe tukio lilikuaje
Wewe ndio bure kabisa..hakuna kitu kweupe kabisaKhatwe na insokozi ni ac moja