I will sacrifice my life for this death, sure i will!!
Niliwahi kufiwa na mzazi wangu, ila sikuumia hivi! Sure i will!
Rest in Peace Alphonce! Nakuona kabisa!!!!
Basi kichaa wewe kama mzazi hana thamani kuliko huyu. Au kiroba kimekuzidia?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
I will sacrifice my life for this death, sure i will!!
Niliwahi kufiwa na mzazi wangu, ila sikuumia hivi! Sure i will!
Rest in Peace Alphonce! Nakuona kabisa!!!!
Ungejua maumivu ya huyo mtoto kwa kuuwawa kwa baba yake na chuki atakayokuwa nayo na jinsi itakavyo muhathili ufahamu wake usinge ANDIKA UPUMBAVU HUU.Kuna mtoto wa darasa la nne aliona baba yake akipigwa risasi na kufa.mtoto alikumbatia maiti ya baba yake na walipokuja polisi kuchukua mwili mtoto alianza kuwarushia mawe polisi uku akisema na mimi nitaua.Tafakali kabla ya kuandika ulichoandika kwa sababu uwezi pindua anachokijua huyo mtoto kuhusu kifo cha baba yake na ataichukia ccm maisha yake yote nakuhakikishia hata watanzania wote wawe ccm yeye peke yake ataikataa ccm.Damu nzito kuliko maji na Ujinga huu ulioandika.
UPUMBAVU wako umezidi kipimo, inaoneka uwezo wako wa kufikiri umezimwa? Labda uliwahi kulawitiwa!Basi kichaa wewe kama mzazi hana thamani kuliko huyu. Au kiroba kimekuzidia?
I will sacrifice my life for this death, sure i will!!
Niliwahi kufiwa na mzazi wangu, ila sikuumia hivi! Sure i will!
Rest in Peace Alphonce! Nakuona kabisa!!!!
UPUMBAVU wako umezidi kipimo, inaoneka uwezo wako wa kufikiri umezimwa? Labda uliwahi kulawitiwa!
Umeona eeh? Jamaa anaapa mpaka anaogopesha. Walio karibu naye wamwangalie vizuri asije akaua mtu kweli. Ni huzuni kwamba siasa zimetufikisha huku. Ni huzuni!Hapa unafanya 'self healing' , baada ya muda utaendelea na maisha yako kama kawaida. Kuongea, kujiapisha na kuahidi sana ni sehemu muhimu mno katika self therapy, hivyo unafanya jambo jema.
Ungeandika mara moja kama ulivyoandika katika ule uzi uliofutwa na mods ningekua na kila sababu ya kugutuka, lakini kwa frequency hizi za ahadi, vitisho na kujiapiza...jiandae kupokea salamu zangu za heri ya Christmas na mwaka mpya ukiwa mwenye heri na furaha tele.
Mpuuzi wewe.Hapa unafanya 'self healing' , baada ya muda utaendelea na maisha yako kama kawaida. Kuongea, kujiapisha na kuahidi sana ni sehemu muhimu mno katika self therapy, hivyo unafanya jambo jema.
Ungeandika mara moja kama ulivyoandika katika ule uzi uliofutwa na mods ningekua na kila sababu ya kugutuka, lakini kwa frequency hizi za ahadi, vitisho na kujiapiza...jiandae kupokea salamu zangu za heri ya Christmas na mwaka mpya ukiwa mwenye heri na furaha tele.
Nani ame confirm ?
Usife moyo rafiki, hakuna marefu yasiyo na ncha. CCM wanaweza wakawazidi watanzania wote ujanja, lakini Hawawezi kumzidi Mungu Ujanja. Wengi wao sasa wanadhani Mungu amelala usingizi. Wakati wa Mungu kushughulika nao utakapofika, ndipo watakapojua kwamba wao ni viumbe sawa na viumbe wengine wote, na kwamba kamwe hawawezi kumzidi muumba wao ujanja.Yaani ccm wanawaona upinzani kama sio watanzania. Swali gn hilo sasa anakuuliza. Mnajifanyia tu mambo ya hovyo kwa vile hamna wa kuwauliza.wala hamfanywi chchte sio?