TANZIA Mwenyekiti wa CHADEMA Mkoa wa Geita, Alphonce Mawazo auawa kikatili mjini Katoro

TANZIA Mwenyekiti wa CHADEMA Mkoa wa Geita, Alphonce Mawazo auawa kikatili mjini Katoro

Status
Not open for further replies.
UPUMBAVU wako umezidi kipimo, inaoneka uwezo wako wa kufikiri umezimwa? Labda uliwahi kulawitiwa!

wenye michezo ya kutoa ndogo umu jf wapo wengisana ukisoma post zao tu unagunguwa kwamba ni vbaskeli wasamee bule ndugu!!!
 
Ni ndugu Alphonce Mawazo.

Katika andiko lake la hivi karibuni alisema tarehe sita mwezi ujao atabatizwa ktk kanisa la ufufuo wa Imani na kuacha majina yake ya sasa na kuitwa "Jonas Savimbi" mpigania haki za wanyonge.

Hakika Umekuwa kielelezo cha Haki na Usawa.Mungu akupokee.
 
Sauti yake na fikra zake zitaendelea kuishi miongoni mwa wana geita
 
Msiba wa Mtanzania huyu isiwe ni sababu ya kuongea tuuu bila kipimo au busara....msiba unaumiza ndio, haswa kwa ndugu, jamaa na marafiki wa karibu kwa Marehemu.

Pamoja na kuwa kifo kinatutisha lakini bado ni imani ya tulio wengi kuwa kifo ndio njia pekee ya kwenda kwenye maisha mengine. Bila kujali kifo hicho chanzo chake ni nini anayebaki na ukweli halisi ni Mwenyezi Mungu pekee.

Huu ni wakati wa kusheherekea maisha ya Marehemu Alphonce...na kama mliokuwa karibu naye mnaamini kuwa Marehemu alitamani kuona nchi yenye matumaini, basi tunaobaki tunapaswa kuenzi hayo...na hiyo ndio heshima kwa Marehemu.

Lakini tukiruhusu chuki hasira na kauli za jazba za kulipiza visasi, ni kuwa mnataka tuamini kuwa Marehemu alikuwa muumini wa hayo?

Wengi tulimpenda Kanumba, na wote tunajua kilichosababisha mauti ya mpendwa wetu yule, na tuliacha mamlaka husika zikafanya yale wanayopaswa kufanya na mengine yatabaki ni kazi ya Mola, na tunaamini hivyo ndio maana hatujatoka na kuanza kumpiga mawe Lulu.

Wapo wanaoamini kuwa tasnia ya filamu inaangamia kwa kukosekana Kanumba.....lakini tufanye nini na yameshatokea?

Kifo hakikwepeki na kila mmoja siku moja atakufa, na wapo makumi au mamia au maelfu watakaoumizwa na kifo hicho kutegemea na nafasi aliyokuwa nayo Marehemu.

yani wea ni fyatu kama jina lako yani kwenye mambo muhimu unatuletea habari za kanumba?!
 
Ni ndugu Alphonce Mawazo.

Katika andiko lake la hivi karibuni alisema tarehe sita mwezi ujao atabatizwa ktk kanisa la ufufuo wa Imani na kuacha majina yake ya sasa na kuitwa "Jonas Savimbi" mpigania haki za wanyonge.

Hakika Umekuwa kielelezo cha Haki na Usawa.Mungu akupokee.
 
Baada ya kifo cha Savimbi Angola ilitulia mpaka leo sasa sielewi unataka kutuma ujumbe gani.
 
Mods kwa vile mnazo details za majina ya members wenu humu hebu tuwekeeni jina halisi la Elungata ili tuone kama ataiona siku ya kesho. Kujivunia ID ya bandia hadi kuona maisha ya mwanadamu hayana thamani kama siasa hizi za kilaghai na kutafuta fursa ya kuiba haitasaidia Tanzania

itakusaidia nini? Hata wewe umeweka jina bandia humu
 
Last edited by a moderator:
Ni ndugu Alphonce Mawazo.

Katika andiko lake la hivi karibuni alisema tarehe sita mwezi ujao atabatizwa ktk kanisa la ufufuo wa Imani na kuacha majina yake ya sasa na kuitwa "Jonas Savimbi" mpigania haki za wanyonge.

Hakika Umekuwa kielelezo cha Haki na Usawa.Mungu akupokee.
Wow. Savimbi alikuwa mpigania haki za wanyonge? What is known ni kwamba alipouawa Angola ilitulia mpaka leo...

Anyway, binadamu tuna 6th sense inayotuwezesha kuhisi yajayo. Haiwezekani ayaseme haya halafu afe kifo kile kile kinachofanana fanana na cha Savimbi.

Malisa G. ameandika FB kuwa wahusika wakuu wote wa mauaji haya wameshakamatwa tayari. Hili ni jambo jema na sheria ichukue mkondo wake kwani hili suala ni above politics. Nobody deserves to be killed like an animal na kuachwa kando ya barabara akivuja damu bila msaada wo wote. Kama binadamu imeniuma sana!
 
yani wea ni fyatu kama jina lako yani kwenye mambo muhimu unatuletea habari za kanumba?!

Na hapo ndio huwa mnakosea, kudhani kuwa wanaopaswa kuwa na mihemuko na hari ya uvunjifu amani ni wanasiasa na wafuasi wao tu.

Marehemu Kanumba alikuwa na wafuasi wengi, tena aliowapata kwa jina lake mwenyewe wala sio chama....kifo chake kiliwagusa wengi....au ukiwa mwanasiasa unakuwa daraja lingine la utu?

Nimetoa mfano hai kabisa na nipo sahihi ndugu.
 
Mungu atakua pamoja na si wauaji wakamatwe lambda kwakua wako kivuli Cha watawala ccm inavyodaiwa .kama kweli mtatumaliza.mtawale nyasi
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom