Turnkey
JF-Expert Member
- Jul 9, 2013
- 7,359
- 5,837
connect dots..sio mapovuIdiot unaulizwa Mawazo unajibu Imran kombe how stupid you are
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
connect dots..sio mapovuIdiot unaulizwa Mawazo unajibu Imran kombe how stupid you are
Ungetumia akili kidogo ungemuelewa na ndio maana ya kuwa GTIdiot unaulizwa Mawazo unajibu Imran kombe how stupid you are
sauti ya tundu lisu inavuma huku duniani.
alphonso mawazo nakukumbuka sana.
Huyo ni alphonce wa kwenye mawazo yako!! Mawazo hakuwahi kuwa mtu wa shari!! Tumeishi naye!ametufia! Mwenyezi Mungu amrehemu pumziko la amani!! Wauaji akina Mojaa na Mjusi bado wanaifurahia pumzi ya bure huko uraiani!! Mungu awaangazie Amina!alfonso yupi?
yule mbabe, mgomvi, muuaji na mtu wa vita??
alfonso aliishi maisha ya upanga akauawa kwa upanga
tulie juu ya akina ben saa nane, akwilina, Lissu n.k ila sio huyo uliyeandika title yake
wewe ulikuwa haumjui
Vipi chacha wangwe!sauti ya tundu lisu inavuma huku duniani.
alphonso mawazo nakukumbuka sana.
Huyo ni alphonce wa kwenye mawazo yako!! Mawazo hakuwahi kuwa mtu wa shari!! Tumeishi naye!ametufia! Mwenyezi Mungu amrehemu pumziko la amani!! Wauaji akina Mojaa na Mjusi bado wanaifurahia pumzi ya bure huko uraiani!! Mungu awaangazie Amina!
Hilo tukio halikuwa la kibabe bali la kujilinda/kujitetea! Eti polisi wanarekodi mkutano! Uliona wapi hiyo?
Kambona, Kombe, Nyerere, Sokoine....?!Vipi chacha wangwe!