Sexer
JF-Expert Member
- Oct 22, 2014
- 8,440
- 8,149
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
R.I.P brother,we had good and bad times, up and down, but God knows you were the STRONGEST among men.Ccm iko siku na saa lazima damu muilipe...tatizo muda tu...View attachment 1393637
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwamba wewe siyo shabiki wa nini ?!. Shame on youMimi si shabiki wa chadema wala ccm ila hiki kilichotokea kwa Mawazo ni aibu kubwa sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Makamanda bhana...mnachekesha sana. Kama uhshaidi mnao kwa nini msiwapelekee police?..Mawazo angekuwa ameuwawa na watu wa CDM nina hakika hivi tunavyozungumza wahusika wangekuwa wameshahukumiwa, tena hukumu ya kunyongwa hadi kufa.
Daah kweli Raia hasa wa Upinzani hawana nafasi mbele ya haki. Binadamu anachinjwa kama Jogoo wa Xmass yet nobody cares!!!. Horrible
Sent using Jamii Forums mobile app
Itakuwa labda upelelezi haujakamilika.wapo waliokamatwa kwa kesi hii lakini mpaka Leo wanapelekwa mahakani na kurudishwa hawana jipya hapo
Shetani wakati mwingine ni wastarabu!
Nami niulize...Mawazo angekuwa ameuwawa na watu wa CDM nina hakika hivi tunavyozungumza wahusika wangekuwa wameshahukumiwa, tena hukumu ya kunyongwa hadi kufa.
Hata mimi nimewahi kusikia msukuma ndie master of the game wa kifo cha mawazo.inasemekana ile gari ilikuwa ya msukuma na ndiye aliyesimamia yale mauwaj
+ bugomola!Hata mimi nimewahi kusikia msukuma ndie master of the game wa kifo cha mawazo.
Makamanda bhana...mnachekesha sana. Kama uhshaidi mnao kwa nini msiwapelekee police?