Mwenyekiti wa kijiji na serikali yake wahitajika kituo cha polisi kwa kosa la kuwahoji wafugaji walioingia kijijini bila utaratibu wa kisheria

Mwenyekiti wa kijiji na serikali yake wahitajika kituo cha polisi kwa kosa la kuwahoji wafugaji walioingia kijijini bila utaratibu wa kisheria

Frustration

JF-Expert Member
Joined
Jan 30, 2018
Posts
3,134
Reaction score
4,124
NAMTUMBO -RUVUMA


Nawasalimu kwa jina la jamhuri ya muungano wa Tanzania. Mimi ni mkazi wa mjini Songea ila mzaliwa wa wilaya ya Namtumbo katika kijiji cha Songambele.

Kutoka na maisha ya mjini na changamoto zake nikaamua kuja kijijini kwa ajili ya kilimo cha mahindi ili mambo yaende sawa mjini. Tarehe 10/12/2024 nilihudhuria mkutano wa kijiji na moja ya mambo waliyoazimia ni kwa serikali mpya kwenda kukagua maeneo wanayoishi wafugaji ili kujua wapepokelewa na nani n wanatoka wapi.

Tarehe 27/12/2024 wajumbe 8 walioenda polini wakawa wamekuja na ripoti kamili na baadhi ya majina ya watu waliohusika kuwauzia maeneo wafugaji yalisomwa.

Kwa maelezo ni kuwa ardhi iliyouzwa ni kuwa imeuzwa kinyume na utaratibu,kwani yalitengwa na kijiji kwaajili ya ufugaji nyuki na kilimo cha baadae hivyo yalitengwa.

Katika mkutano huo ilitolewa taarifa kuwa nyumba ya mjumbe mmjo aliyeenda shambani imechomwa moto siku yeye amerudi na alifungiwa mlango kwa nje ni nahati tu mlango wa mbele hauna komeo kwa nje na ndio waliotekea.

Muhanga wa moto alienda kuripoti polisi na katika maelezo yake watu 6 waliotajwa katika ripoti ya uuzwaji wa maeeneo wakawa wahisiwa hivyo wakaitwa polisi.

Polisi kata anamlaumu mwenyekiti wa kijiji ndie chanzo cha kuunguliwa nyumba ya mjumbee wake moto kwa hoja kwamba asingewatuma basi nyumba isingeungua.

Kwa sasa polisi hawazungumzii tena moto bali serikali yote inahitajika polisi kujieleza madaraka ya kwenda kwa wafugaji wameyatoa wapi.

Mitasari imeletwa na wamekili ila wanasema ilitakiwa iende kwanza katani na wilayani ndipo watu wangeenda polini.

Naombeni ushauri wadau wa humu jf ni kweli ni kosa kwa halmashauri ya kijiji kutekeleza agizo la wananchi la kuwahoji wafugaji kwa amani na serikali haikuwa na mamlaka hayo?
 
Kutoka na maisha ya mjini na changamoto zake nikaamua kuja kijijini kwa ajili ya kilimo cha mahindi ili mambo yaende sawa mjini. Tarehe 10/12/2024 nilihudhuria mkutano wa kijiji na moja ya mambo waliyoazimia ni kwa serikali mpya kwenda kukagua maeneo wanayoishi wafugaji ili kujua wapepokelewa na nani n wanatoka wapi.
Tarehe 27/12/2024 wajumbe 8 walioenda polini wakawa wamekuja na ripoti kamili na baadhi ya majina ya watu waliohusika kuwauzia maeneo wafugaji yalisomwa. Kwa maelezo ni kuwa ardhi iliyouzwa ni kuwa imeuzwa kinyume na utaratibu,kwani yalitengwa na kijiji kwaajili ya ufugaji nyuki na kilimo cha baadae hivyo yalitengwa.
Ushahidi haujitoshelezi!
 
Mwenyekiti ana haki ya kuhoji kilichopo katika eneo lake, yeye ni Samia wa pale.
Polisi wanadai kule ilitakiwa aende mtendaji kata, polisi kata na bwana shamba wa kata ila kijiji hakina mamlaka hiyo au kama wangeenda basi kwa kushauriana na uongozi wa kata na wilaya na sio kijiji kama kijiji hakina mamlaka hiyo kisheria.
 
Hapo polisi wanahusika kuwalinda hao wafugaji...
Kwa taarifa za chini chini wafugaji wakileta ng'ombe mtendaji kaa,vgs, polisi kata na bwana shamba wa kata kwa kushirikiana na mgambo wa kata wanawapiga pakubwa alafu wanawasukumia kwenye kijiji cha Songambele na wanaahidiwa kutokusumbuuliwa
 
Kutoka na maisha ya mjini na changamoto zake nikaamua kuja kijijini kwa ajili ya kilimo cha mahindi ili mambo yaende sawa mjini. Tarehe 10/12/2024 nilihudhuria mkutano wa kijiji na moja ya mambo waliyoazimia ni kwa serikali mpya kwenda kukagua maeneo wanayoishi wafugaji ili kujua wapepokelewa na nani n wanatoka wapi.
1. Kabla ya kufikiwa azimio hilo, ni nini kilisukuma mjadala kuhusu azimio hili?(Mfano: Je. Kulikuwa na uharibifu wa mazao kutokana na Mifugo,? Kulikuwa na malalamuko ya wafugaji kuonewa na wanakijiji wasiowafugaji,? Nakadhalika nakadhalika)
2. Kwa kuwa umeeleza kuwa hii ilikuwa serikali mpya ya Kijiji; je, Kwenye nyaraka za makabidhiano ya uongozi wa serikali ya Kijiji uliopita zilikuwa zinaonyesha nini kuhusu Uwepo wa wafugaji?
3. Kama ulivyosema wajumbe na uongozi wa Kijiji ulikwenda "serikali mpya kwenda kukagua maeneo wanayoishi wafugaji ili kujua wapepokelewa na nani n wanatoka wapi."; nini kilisemwa kwenye Kikao/mkutano huo kuhusu aliyewapokea hao wafugaji nikitarajia uongozi uliopita ulikuwepo kwenye Kikao?
Tarehe 27/12/2024 wajumbe 8 walioenda polini wakawa wamekuja na ripoti kamili na baadhi ya majina ya watu waliohusika kuwauzia maeneo wafugaji yalisomwa.
1. Hiyo ripoti ilikabidhiwa wapi? Je. Ilikabidhiwa kwenye mkutano Mkuu wa Kijiji au ilikabidhiwa kwa Mtendaji wa Kijiji? maana mpaka hapa sijaona alipotajwa Mtendaji wa Kijiji.

2. Hao waliouza maeneo mbona hawatajwi hapa hapa kwa majina na hao walionunua mbona hawatajwi? ( Suala nadhani halijaenda mahakamani hivyo mjadala Hata kwa majina unarhusiwa)
Kwa maelezo ni kuwa ardhi iliyouzwa ni kuwa imeuzwa kinyume na utaratibu,
1. Utaratibu wa Kijiji kuuza maeneo upoje, na utaratibu uliotumika kuwazuia hao wafugaji ulikuwa upi?
2. Huo utaratibu unaodai ulikiukwa unafuta miongozo ya nchi zikiwemo sera na mikakati ya Kilimo, na urasimishaji vijiji nakadhalika?
kwani yalitengwa na kijiji kwaajili ya ufugaji nyuki na kilimo cha baadae hivyo yalitengwa.
Kama Kijiji kilitenga maeneo ya ufugaji nyuki na Kilimo cha Baadaye; hicho Kilimo cha baadaye ni cha namna gani? Fafanua tafadhali.

Kwa uelewa wangu Kilimo hujumuisha mambo ya kulima mazao kama mahindi(crops), ufagaji wanayama na ndege (livestocks), Kilimo misitu (agroforestry ) nakadhalika. Kwa msingi huu, Kijiji kutenga eneo kwa ajili ya "Kilimo cha Baadaye", Hata kama sijapata tafsiri rasmi, nadhani ufugaji katika eneo hilo si haramu. Msisitizo ninadhani!

Karibu Sasa kwa maelezo yenye ushahidi wa kina. Lengo, ni kuwarahisishia hao watakao kupata msaada wa kisheria wasipoteze muda kukukuandalia utetezi wa suala hili huko Polisi ama mahakamani.
 
NAMTUMBO -RUVUMA


Nawasalimu kwa jina la jamhuri ya muungano wa Tanzania. Mimi ni mkazi wa mjini Songea ila mzaliwa wa wilaya ya Namtumbo katika kijiji cha Songambele.

Kutoka na maisha ya mjini na changamoto zake nikaamua kuja kijijini kwa ajili ya kilimo cha mahindi ili mambo yaende sawa mjini. Tarehe 10/12/2024 nilihudhuria mkutano wa kijiji na moja ya mambo waliyoazimia ni kwa serikali mpya kwenda kukagua maeneo wanayoishi wafugaji ili kujua wapepokelewa na nani n wanatoka wapi.

Tarehe 27/12/2024 wajumbe 8 walioenda polini wakawa wamekuja na ripoti kamili na baadhi ya majina ya watu waliohusika kuwauzia maeneo wafugaji yalisomwa.

Kwa maelezo ni kuwa ardhi iliyouzwa ni kuwa imeuzwa kinyume na utaratibu,kwani yalitengwa na kijiji kwaajili ya ufugaji nyuki na kilimo cha baadae hivyo yalitengwa.

Katika mkutano huo ilitolewa taarifa kuwa nyumba ya mjumbe mmjo aliyeenda shambani imechomwa moto siku yeye amerudi na alifungiwa mlango kwa nje ni nahati tu mlango wa mbele hauna komeo kwa nje na ndio waliotekea.

Muhanga wa moto alienda kuripoti polisi na katika maelezo yake watu 6 waliotajwa katika ripoti ya uuzwaji wa maeeneo wakawa wahisiwa hivyo wakaitwa polisi.

Polisi kata anamlaumu mwenyekiti wa kijiji ndie chanzo cha kuunguliwa nyumba ya mjumbee wake moto kwa hoja kwamba asingewatuma basi nyumba isingeungua.

Kwa sasa polisi hawazungumzii tena moto bali serikali yote inahitajika polisi kujieleza madaraka ya kwenda kwa wafugaji wameyatoa wapi.

Mitasari imeletwa na wamekili ila wanasema ilitakiwa iende kwanza katani na wilayani ndipo watu wangeenda polini.

Naombeni ushauri wadau wa humu jf ni kweli ni kosa kwa halmashauri ya kijiji kutekeleza agizo la wananchi la kuwahoji wafugaji kwa amani na serikali haikuwa na mamlaka hayo?
Rushwa hupofia macho ya wenye dhamana ya kufanya maamuzi
 
NAMTUMBO -RUVUMA


Nawasalimu kwa jina la jamhuri ya muungano wa Tanzania. Mimi ni mkazi wa mjini Songea ila mzaliwa wa wilaya ya Namtumbo katika kijiji cha Songambele.

Kutoka na maisha ya mjini na changamoto zake nikaamua kuja kijijini kwa ajili ya kilimo cha mahindi ili mambo yaende sawa mjini. Tarehe 10/12/2024 nilihudhuria mkutano wa kijiji na moja ya mambo waliyoazimia ni kwa serikali mpya kwenda kukagua maeneo wanayoishi wafugaji ili kujua wapepokelewa na nani n wanatoka wapi.

Tarehe 27/12/2024 wajumbe 8 walioenda polini wakawa wamekuja na ripoti kamili na baadhi ya majina ya watu waliohusika kuwauzia maeneo wafugaji yalisomwa.

Kwa maelezo ni kuwa ardhi iliyouzwa ni kuwa imeuzwa kinyume na utaratibu,kwani yalitengwa na kijiji kwaajili ya ufugaji nyuki na kilimo cha baadae hivyo yalitengwa.

Katika mkutano huo ilitolewa taarifa kuwa nyumba ya mjumbe mmjo aliyeenda shambani imechomwa moto siku yeye amerudi na alifungiwa mlango kwa nje ni nahati tu mlango wa mbele hauna komeo kwa nje na ndio waliotekea.

Muhanga wa moto alienda kuripoti polisi na katika maelezo yake watu 6 waliotajwa katika ripoti ya uuzwaji wa maeeneo wakawa wahisiwa hivyo wakaitwa polisi.

Polisi kata anamlaumu mwenyekiti wa kijiji ndie chanzo cha kuunguliwa nyumba ya mjumbee wake moto kwa hoja kwamba asingewatuma basi nyumba isingeungua.

Kwa sasa polisi hawazungumzii tena moto bali serikali yote inahitajika polisi kujieleza madaraka ya kwenda kwa wafugaji wameyatoa wapi.

Mitasari imeletwa na wamekili ila wanasema ilitakiwa iende kwanza katani na wilayani ndipo watu wangeenda polini.

Naombeni ushauri wadau wa humu jf ni kweli ni kosa kwa halmashauri ya kijiji kutekeleza agizo la wananchi la kuwahoji wafugaji kwa amani na serikali haikuwa na mamlaka hayo?
Mwenyekiti ndie Mkuu wa Usalama wa Eneo hilo
.
 
NAMTUMBO -RUVUMA


Nawasalimu kwa jina la jamhuri ya muungano wa Tanzania. Mimi ni mkazi wa mjini Songea ila mzaliwa wa wilaya ya Namtumbo katika kijiji cha Songambele.

Kutoka na maisha ya mjini na changamoto zake nikaamua kuja kijijini kwa ajili ya kilimo cha mahindi ili mambo yaende sawa mjini. Tarehe 10/12/2024 nilihudhuria mkutano wa kijiji na moja ya mambo waliyoazimia ni kwa serikali mpya kwenda kukagua maeneo wanayoishi wafugaji ili kujua wapepokelewa na nani n wanatoka wapi.

Tarehe 27/12/2024 wajumbe 8 walioenda polini wakawa wamekuja na ripoti kamili na baadhi ya majina ya watu waliohusika kuwauzia maeneo wafugaji yalisomwa.

Kwa maelezo ni kuwa ardhi iliyouzwa ni kuwa imeuzwa kinyume na utaratibu,kwani yalitengwa na kijiji kwaajili ya ufugaji nyuki na kilimo cha baadae hivyo yalitengwa.

Katika mkutano huo ilitolewa taarifa kuwa nyumba ya mjumbe mmjo aliyeenda shambani imechomwa moto siku yeye amerudi na alifungiwa mlango kwa nje ni nahati tu mlango wa mbele hauna komeo kwa nje na ndio waliotekea.

Muhanga wa moto alienda kuripoti polisi na katika maelezo yake watu 6 waliotajwa katika ripoti ya uuzwaji wa maeeneo wakawa wahisiwa hivyo wakaitwa polisi.

Polisi kata anamlaumu mwenyekiti wa kijiji ndie chanzo cha kuunguliwa nyumba ya mjumbee wake moto kwa hoja kwamba asingewatuma basi nyumba isingeungua.

Kwa sasa polisi hawazungumzii tena moto bali serikali yote inahitajika polisi kujieleza madaraka ya kwenda kwa wafugaji wameyatoa wapi.

Mitasari imeletwa na wamekili ila wanasema ilitakiwa iende kwanza katani na wilayani ndipo watu wangeenda polini.

Naombeni ushauri wadau wa humu jf ni kweli ni kosa kwa halmashauri ya kijiji kutekeleza agizo la wananchi la kuwahoji wafugaji kwa amani na serikali haikuwa na mamlaka hayo?
Watu wa namtumbo ni wambeya sana na wanaona wivu sana.mm ni mzawa wa wilaya ya nyasa na tunawajua wandendaule wanapenda sana Majungu na ni watu wenye wivu sana.waachane na tabia hizi na wafanye kazi kwani Majungu yanarudisha maendeleo nyuma.
 
Back
Top Bottom