jonas amos
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 3,645
- 4,438
Mpaka yafike mlangoni kwako ndo akili ikufikieWatu wasiojulikana wameajiriwa na Mwenyekiti wao Saasa unamlaumu Nani? Wewe Kama unataka hao watu waishe ungana na lisu basi hiyo ndio suruhisho la watu wasiojulikana na Kwa taarifa yako usinyione kuwa uko Salama kisa uko Ccm no hao wanauwa pande zote Mkuu, ukikosoa tu wako na wewe, na usiposifia ukanuna wamekudaka, Mimi naawaambia Magufuli kaharibu saana hiii nchi ila hamsikii na bado Sana
sheria zipo na zinatumikaDon't panic Boss
Huyu aliuwawa ni mtanzania kama mawazo, Ben sanane, kaguye, Azory, mwangosi etc
Mungu awalaze mahala pema peponi π
Acha kupayuka hovyoWatu wasiojulikana wameajiriwa na Mwenyekiti wao Saasa unamlaumu Nani? Wewe Kama unataka hao watu waishe ungana na lisu basi hiyo ndio suruhisho la watu wasiojulikana na Kwa taarifa yako usinyione kuwa uko Salama kisa uko Ccm no hao wanauwa pande zote Mkuu, ukikosoa tu wako na wewe, na usiposifia ukanuna wamekudaka, Mimi naawaambia Magufuli kaharibu saana hiii nchi ila hamsikii na bado Sana
Yamewarudia hukohuko Iringa.Kumbe kweli hadi jambo likufike ndio ujue uchungu wake. Wakati akina Mawazo wanauawa hatukusikia hizi laana. Nchi iliharibika kitambo mkawa mnakejeli watu wanajiteka. Kuna kijana wa UVCCM Mkoa wa Iringa aliomba ruhusa kwa mwenyekiti wa CCM taifa waruhusiwe wavunje watu miguu au wawauwe kabisa. R.I.P. kijana.
Acheni ujinga nyinyi,sheria zipo na zinatumika
Hao unawataja wamepata walichokua wanatafuta na inahusiana vipi na president hapo?
Ana uwezo wa kuamuru tu wafungwe maisha.
Siasa ziwe na mipaka,unalaumu huku ukute hao unawataja wote wamefanyiziwa na mwenyekiti wao na mabaunsa wake.
Mnauana ili kusaka huruma ya kisiasa !!!! Poor youHivi wewe dada unajielewa kichwani,kwa huu muandiko wako inaelekea una msongo wa ugumba wa maisha wewe.
Mwenyekiti wako wewe unajua wangapi kawafukuza kwenye chama chake kwa kumpinga tu.
Unaijua historia za zitto kabwe kutoka chadema na kwenda kuanzisha ACT.
Huu ni uzi wa msiba hizo kelele zako kama mwanamke aliokopwa penzi peleka ufipa
Tutumie lugha wanayotumia CCM dhidi ya wapinzani " atakuwa kajiua mwenyewe tu kutafuta huruma ya wananchi "Ndugu wana CCM,
Ndugu yetu, kijana wetu Emmanuel Polykap Mlelwa hatunae tena. Nimepigiwa simu na baba yake mzazi, Diwani mstaafu wa kata ya Madope-Ludewa kuwa ameuwa na watu wasiojulikana eneo la Kibena.
Mwili wake ulihifadhiwa hospitali ya Kibena leo ni siku ya sita ndiyo umetambuliwa.
Hakika nikiwa kama sehemu ya familia, hakika nipigo kwa familia, pia ni pigo kwa CCM[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24].
Haya ni matukio mabaya sana yanayoendelea kutokea katika nchi yetu na yanatakiwa kukemewa na kila mwenye akili.
Uwezo huo ungekuwa nao sasaWaachie wasiachie ilo lao
Langu mimi ni kuwashughulikia
Kina Mawazo walikuwa Ccm?Sasa hiyo ngumi anamtisha nani, Lissu! Angeachana na CCM yasingemtokea hata na bahati mbaya maisha hayana kuriwaindi.
Yule ni mhehe na wahehe wanatabia ya kujinyonga hata akiibiwa simu.Tutumie lugha wanayotumia CCM dhidi ya wapinzani " atakuwa kajiua mwenyewe tu kutafuta huruma ya wananchi "
No offence
Ccm ni chama cha kishetaniYapi naungana na ww safi sana