Mwenyekiti wa Seneti Vyuo Vikuu Iringa auawa na watu wasiojulikana

Mwenyekiti wa Seneti Vyuo Vikuu Iringa auawa na watu wasiojulikana

Unajua Hawa watu ndio dawa yao, wakivamia sisi tuwe tunafanya kweli, tusiogope, haata Mandela aliokoa taifa lake kwa kujitoa lazima mtu akivamia mkutano wetu tunamyooosha hapo hapo asipotepeta tunamfuata huko kwake usiku, maaana tunajuana na tunaishi humu humu wote ndio Dawa yao hao wavuta bangi kudhani kuwa polis wanatembea nao mfukoni
Hivi we mbona unaongea sana, we kama nani kwanza?
Kwahiyo mmemuua huyu kijana ili msingizie Ccm?
Jiandae ulipo ukaisaidie polisi
 
Inasikitisha sana kwa tulipofikia, Yaani mtu anauliwa au kuumizwa kwa ajili ya mambo ya siasa
Huu ni ujinga na ushamba kabisa....
Hivi ukimua Mwenzako unapata nini&kuongezewa nini!

Ova
 
Hivi we mbuzi mbona unaongea usenge sana,we kama nani kwanza?
Kwahiyo mmemuua huyu kijana ili msingizie Ccm?
Jiandae ulipo ukaisaidie polisi pumbavu kabisa
Polisi waanze na waliowaua kina Mawazo, Ben sa8, Azori na wengineo! Akifa wa upinzani huwa mnajifanya hamuoni! R.i. p kijana, sinaga uchungu na ccm kwa kweli!
 
Mungu ampumzishe salama kijana wa watu.Pole Kwa familia na taifa Kwa ujumla.Natamani siku moja wasiojulikana wajulikane.Hivi kweli kama Taifa bado hatujaweza kufanya uchunguzi wa hizi Mambo.
Basi ifike mahali serikali ipeleke watu nchi za wenzetu huko mbele wakajifunze mambo ya uchunguzi.Manake naona wasiojulikana wanapata kiburi kwasababu hamna wa kuwajua.Wapendwa wetu wengi wanapoteza maisha Kwa style hii.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
wabongo muda wote mnazungumzia siasa, na kujibishana, kutusiana na kuongea visivyonamaana, Fanyeni kazi mlee familia zenu, siasa zitawamaliza. Au mliambiwa bila siasa hamtaishi!
Katika hao wanaobishana kuhusu siasa, kuna hata mmoja alikuja kukuomba hela ya chakula wewe unayefanya kazi ?
 
Nyinyi ndio mnafanya wanapata hofu mpaka wako tayari kufanya lolote mradi wasiachie madaraka

Kwa kuwa hamna akili hamuelewi
Waachie wasiachie ilo lao

Langu mimi ni kuwashughulikia
 
Siasa chuon hazitakiwi..Sijui yeye alkua anafanyaje..RIP...mlio chuoni someni achen mambo ya siasa
 
Ndugu wana CCM,

Ndugu yetu, kijana wetu Emmanuel Polykap Mlelwa hatunae tena. Nimepigiwa simu na baba yake mzazi, Diwani mstaafu wa kata ya Madope-Ludewa kuwa ameuwa na watu wasiojulikana eneo la Kibena.

Mwili wake ulihifadhiwa hospitali ya Kibena leo ni siku ya sita ndiyo umetambuliwa.

Hakika nikiwa kama sehemu ya familia, hakika nipigo kwa familia, pia ni pigo kwa CCM[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24].

Haya ni matukio mabaya sana yanayoendelea kutokea katika nchi yetu na yanatakiwa kukemewa na kila mwenye akili.
Alitaka kuhama akashughulikiwa ama?RIP maana hii tabia hii ya kuuana kwa sababu ya tofauti za kisiasa imejaa sana zama hizi
 
Hivi wewe dada unajielewa kichwani,kwa huu muandiko wako inaelekea una msongo wa ugumba wa maisha wewe.

Mwenyekiti wako wewe unajua wangapi kawafukuza kwenye chama chake kwa kumpinga tu.

Unaijua historia za zitto kabwe kutoka chadema na kwenda kuanzisha ACT.

Huu ni uzi wa msiba hizo kelele zako kama mwanamke aliokopwa penzi peleka ufipa
Waliomtandika Lissu risasi wako wapi
 
Hawa ndio wasiojulikana
 

Attachments

  • IMG_20200910_224455.jpg
    IMG_20200910_224455.jpg
    95.3 KB · Views: 1
Hivi we mbuzi mbona unaongea usenge sana,we kama nani kwanza?
Kwahiyo mmemuua huyu kijana ili msingizie Ccm?
Jiandae ulipo ukaisaidie polisi pumbavu kabisa

Don't panic Boss

Huyu aliuwawa ni mtanzania kama mawazo, Ben sanane, kaguye, Azory, mwangosi etc

Mungu awalaze mahala pema peponi 🙏
 
Kiukweli ni kijana niliemjua kwa muda mchache wa mwaka mmoja, na pia alikuwa rafiki yangu na alikuwa kijana aliefanya siasa zake vizuri ila sijui ni nini kimemkuta mpaka sasa sijapata majibu , ulale mahali pema peponi jamaa yangu ,,,emmanuel mlelwa ,,,anyway ngoja tuhudhurie mazishi tupate kupoa
Kumbe na wewe ni CCM! Nakuombea DDDD
 
Back
Top Bottom