MLUGURU
JF-Expert Member
- Mar 30, 2012
- 2,929
- 3,710
Ndio mnavokaa mnadanganyanaUnajua sasahivi lisu anamiliki mikoa 14 hadi sasa na magufuli 12 ila lisu akiongeza speed kuna mikoa mitatu anaweza pia kumnyanganya magufuli na Zanzibar inaingia Kwa lisu pia