Mwenyekiti wa Seneti Vyuo Vikuu Iringa auawa na watu wasiojulikana

Mwenyekiti wa Seneti Vyuo Vikuu Iringa auawa na watu wasiojulikana

Nimepokea taaria muda huu kuwa mwenyekiti wa UVCCM tawi la vyuo vikuu mkoa wa Iringa ameuawa kwa sababu za kisiasa. Bado taarifa kamili hazijatolewa ila za awali ni kuwa ameuawa baada ya kuvamia mkutano usiomuhusu!
Jina?
 
Watu wasiojulikana wameajiriwa na Mwenyekiti wao Saasa unamlaumu Nani? Wewe Kama unataka hao watu waishe ungana na lisu basi hiyo ndio suruhisho la watu wasiojulikana na Kwa taarifa yako usinyione kuwa uko Salama kisa uko Ccm no hao wanauwa pande zote Mkuu, ukikosoa tu wako na wewe, na usiposifia ukanuna wamekudaka, Mimi naawaambia Magufuli kaharibu saana hiii nchi ila hamsikii na bado Sana
Magufuli alikuwepo mkirushiana mabomu Arusha enzi za Jk?
 
Watu wasiojulikana wameajiriwa na Mwenyekiti wao Saasa unamlaumu Nani? Wewe Kama unataka hao watu waishe ungana na lisu basi hiyo ndio suruhisho la watu wasiojulikana na Kwa taarifa yako usinyione kuwa uko Salama kisa uko Ccm no hao wanauwa pande zote Mkuu, ukikosoa tu wako na wewe, na usiposifia ukanuna wamekudaka, Mimi naawaambia Magufuli kaharibu saana hiii nchi ila hamsikii na bado Sana
Good
 
Kumbe kweli hadi jambo likufike ndio ujue uchungu wake. Wakati akina Mawazo wanauawa hatukusikia hizi laana. Nchi iliharibika kitambo mkawa mnakejeli watu wanajiteka. Kuna kijana wa UVCCM Mkoa wa Iringa aliomba ruhusa kwa mwenyekiti wa CCM taifa waruhusiwe wavunje watu miguu au wawauwe kabisa. R.I.P. kijana.
Na alipewa zawadi ya ukuu wa wilaya mojawapo mkoani Arusha!
 
Na alipewa zawadi ya ukuu wa wilaya mojawapo mkoani Arusha!
Hao uvccm ni wepesi Kama Maji Ya mlenda tukiamua kuwasilisha adhabu wataisha nchi nzima Kwa Siku tano tu, wapo wachache Sana, wanashindwa Kuelewa kuwa upande wa pili wako wengi ni zaid ya asilimia 80 , wanaowachukia sio chadema Pekee no kuna ACT, kuna na wasio na chama wote hao wakiamua watawapepeta na hata hao polis hawatawasaidia, wao wanadhani polis anaweza kuwalinda had makwao? Tunaweza amua tukawatafuta hata usiku tukawashikisha adhabu na huko ndiko tunakoelekea wasubirie tarehe 28 Kama watajiingiza kumtetea huyo muhutu wao
 
Ndugu wana CCM,

Ndugu yetu, kijana wetu Emmanuel Polykap Mlelwa hatunae tena. Nimepigiwa simu na baba yake mzazi, Diwani mstaafu wa kata ya Madope-Ludewa kuwa ameuwa na watu wasiojulikana eneo la Kibena.

Mwili wake ulihifadhiwa hospitali ya Kibena leo ni siku ya sita ndiyo umetambuliwa.

Hakika nikiwa kama sehemu ya familia, hakika nipigo kwa familia, pia ni pigo kwa CCM[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24].

Haya ni matukio mabaya sana yanayoendelea kutokea katika nchi yetu na yanatakiwa kukemewa na kila mwenye akili.
UNYAMA HUU PIA ALIFANYIWA LISSU NA WATANZANIA WENGINE.INASIKITISHA SANA.HATUJUI KESHO NI ZAMU YA NANI
 
Rest in peace mwenyekiti💔
Pole sana kwa wafiwa🙏
 
Tumeishakuambia kuwa hayo mwambie Mwenyekiti wako ndio anaewajua watu wasiojulikana ebbooo, na anawafundisha kuwa wakizingirwa na wananchi Kama ilivyotokea huku tarime tulivyowazingira kumuokoa Peter zakaria wanajisalimisha na kujigeuza kusema kuwa wao ni usalama wa taifa.

Mwenyekiti wenu hajui kuwa huyu ni Ccm wala upinxani yeye ukimpinga Kama kinana na makamba ni kufukuza Halafu anasema kuwa kafukuzwa na Kamati Kuu Wakati kafukuza yeye mwenyewe, ungana na lisu mtaisha nawaambieni haya twende, ulimuona nape jasho lilivyomtoka? Alipoitwa ikulu?
 
Ndugu wana CCM,

Ndugu yetu, kijana wetu Emmanuel Polykap Mlelwa hatunae tena. Nimepigiwa simu na baba yake mzazi, Diwani mstaafu wa kata ya Madope-Ludewa kuwa ameuwa na watu wasiojulikana eneo la Kibena.

Mwili wake ulihifadhiwa hospitali ya Kibena leo ni siku ya sita ndiyo umetambuliwa.

Hakika nikiwa kama sehemu ya familia, hakika nipigo kwa familia, pia ni pigo kwa CCM[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24].

Haya ni matukio mabaya sana yanayoendelea kutokea katika nchi yetu na yanatakiwa kukemewa na kila mwenye akili.
Ben Saanane, Mawazo, Akwilina RIP
 
Watu wasiojulikana wameajiriwa na Mwenyekiti wao Saasa unamlaumu Nani? Wewe Kama unataka hao watu waishe ungana na lisu basi hiyo ndio suruhisho la watu wasiojulikana na Kwa taarifa yako usinyione kuwa uko Salama kisa uko Ccm no hao wanauwa pande zote Mkuu, ukikosoa tu wako na wewe, na usiposifia ukanuna wamekudaka, Mimi naawaambia Magufuli kaharibu saana hiii nchi ila hamsikii na bado Sana
Uongo wenu utakuja julikana tu siku. Mungu anawaona. Msijifanye wajanja wa maneno na kuyumbisha Story.

Ubaya wa CHADEMA unajulikana na matatizo yaliyopo sasa kwenye chama chenu hayo nayo hutaki kuysikia wala kuyaelewa ama kuzungunzia.

Subiri kimbunga kinakuja. Mwogope mtu anaye kaa kimya atakuwa ana mengi anayo yaficha.

Ninauhakika iko siku CHADEMA mtakuja umbuka ile kishenzi.
 
Uongo wenu utakuja julikana tu siku. Mungu anawaona. Msijifanye wajanja wa maneno na kuyumbisha Story.

Ubaya wa CHADEMA unajulikana na matatizo yaliyopo sasa kwenye chama chenu hayo nayo hutaki kuysikia wala kuyaelewa ama kuzungunzia.

Subiri kimbunga kinakuja. Mwogope mtu anaye kaa kimya atakuwa ana mengi anayo yaficha.

Ninauhakika iko siku CHADEMA mtakuja umbuka ile kishenzi.
Sasa unataka useme kuwa watu wasiojulikana wameajiriwa na chadema? Kwa hiyo wako chadema Lakini wakitenda kosa la kuuwa, kukamata na kuteka usalama unakataa kufanya uchunguzi ili kumtetea chadema? Daaah unaumri gani Kwanzaa? Nisije nikawa namaliza bando kumjibu Mtoto
 
Back
Top Bottom