Tumeishakuambia kuwa hayo mwambie Mwenyekiti wako ndio anaewajua watu wasiojulikana ebbooo, na anawafundisha kuwa wakizingirwa na wananchi Kama ilivyotokea huku tarime tulivyowazingira kumuokoa Peter zakaria wanajisalimisha na kujigeuza kusema kuwa wao ni usalama wa taifa.
Mwenyekiti wenu hajui kuwa huyu ni Ccm wala upinxani yeye ukimpinga Kama kinana na makamba ni kufukuza Halafu anasema kuwa kafukuzwa na Kamati Kuu Wakati kafukuza yeye mwenyewe, ungana na lisu mtaisha nawaambieni haya twende, ulimuona nape jasho lilivyomtoka? Alipoitwa ikulu?