Mwenyekiti wa Seneti Vyuo Vikuu Iringa auawa na watu wasiojulikana

Mwenyekiti wa Seneti Vyuo Vikuu Iringa auawa na watu wasiojulikana

Kumbe kweli hadi jambo likufike ndio ujue uchungu wake. Wakati akina Mawazo wanauawa hatukusikia hizi laana. Nchi iliharibika kitambo mkawa mnakejeli watu wanajiteka. Kuna kijana wa UVCCM Mkoa wa Iringa aliomba ruhusa kwa mwenyekiti wa CCM taifa waruhusiwe wavunje watu miguu au wawauwe kabisa. R.I.P. kijana.
Mkuki ulikuwa ukirushwa kwa nguruwe, sasa unaelekezwa kwa binadamu.
 
Na akichaguliwa tena watu wafaaaa, huyu magufuli ni mtu hatari mno kuliko mnavyofikiria, hivi mtu akamdharirirsha had makamba, nape, kinana bado unampenda? Bado unamshabikia kisa uko Ccm? Utakuwa umerogwa, waliomuweka madarakani akina kikwete akawaita wanawashwa washwa wewe bado uende umpigie kura?
@Joyce joyce wape ado ado bana!
 
Ndugu wana CCM,

Ndugu yetu, kijana wetu Emmanuel Polykap Mlelwa hatunae tena. Nimepigiwa simu na baba yake mzazi, Diwani mstaafu wa kata ya Madope-Ludewa kuwa ameuwa na watu wasiojulikana eneo la Kibena.

Mwili wake ulihifadhiwa hospitali ya Kibena leo ni siku ya sita ndiyo umetambuliwa.

Hakika nikiwa kama sehemu ya familia, hakika nipigo kwa familia, pia ni pigo kwa CCM[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24].

Haya ni matukio mabaya sana yanayoendelea kutokea katika nchi yetu na yanatakiwa kukemewa na kila mwenye akili.
Ccm mmeyalea sana haya
 
[emoji1434][emoji1434][emoji1434][emoji1434][emoji1434][emoji1434][emoji1434] Aluta Continuaaa
 
Ndugu wana CCM,

Ndugu yetu, kijana wetu Emmanuel Polykap Mlelwa hatunae tena. Nimepigiwa simu na baba yake mzazi, Diwani mstaafu wa kata ya Madope-Ludewa kuwa ameuwa na watu wasiojulikana eneo la Kibena.

Mwili wake ulihifadhiwa hospitali ya Kibena leo ni siku ya sita ndiyo umetambuliwa.

Hakika nikiwa kama sehemu ya familia, hakika nipigo kwa familia, pia ni pigo kwa CCM[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24].

Haya ni matukio mabaya sana yanayoendelea kutokea katika nchi yetu na yanatakiwa kukemewa na kila mwenye akili.
Poleni sana ...si vema kuuliza hili swali lakini ningependa kujua ni mshabiki wa chama gani
 
Poleni sana ...si vema kuuliza hili swali lakini ningependa kujua ni mshabiki wa chama gani
Mkuu ni shabiki wa mboga mboga
Nyanda za Juu Kusini uende nao na akili ya ziada
Wazee waliokuwa mbogamboga wengi wao wamestaafu na siasa au walitwaliwa na Bwana sasa vijana wa fursa wanajitutumua bila kusoma historia
Apumzike mwanetu
 
Mkuu ni shabiki wa mboga mboga
Nyanda za Juu Kusini uende nao na akili ya ziada
Wazee waliokuwa mbogamboga wengi wao wamestaafu na siasa au walitwaliwa na Bwana sasa vijana wa fursa wanajitutumua bila kusoma historia
Apumzike mwanetu
Mungu amrehemu
 
Ndugu wana CCM,

Ndugu yetu, kijana wetu Emmanuel Polykap Mlelwa hatunae tena. Nimepigiwa simu na baba yake mzazi, Diwani mstaafu wa kata ya Madope-Ludewa kuwa ameuwa na watu wasiojulikana eneo la Kibena.

Mwili wake ulihifadhiwa hospitali ya Kibena leo ni siku ya sita ndiyo umetambuliwa.

Hakika nikiwa kama sehemu ya familia, hakika nipigo kwa familia, pia ni pigo kwa CCM[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24].

Haya ni matukio mabaya sana yanayoendelea kutokea katika nchi yetu na yanatakiwa kukemewa na kila mwenye akili.
Haya yalisemwa siku nyingi sana mkawa manawakejeli waliokua wakiyasema mkafika mbali zaidi mkasema " wapinzani wana jiteka" sasa vipi??? Na huyo kajiteka????
 
Ndugu wana CCM,

Ndugu yetu, kijana wetu Emmanuel Polykap Mlelwa hatunae tena. Nimepigiwa simu na baba yake mzazi, Diwani mstaafu wa kata ya Madope-Ludewa kuwa ameuwa na watu wasiojulikana eneo la Kibena.

Mwili wake ulihifadhiwa hospitali ya Kibena leo ni siku ya sita ndiyo umetambuliwa.

Hakika nikiwa kama sehemu ya familia, hakika nipigo kwa familia, pia ni pigo kwa CCM[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24].

Haya ni matukio mabaya sana yanayoendelea kutokea katika nchi yetu na yanatakiwa kukemewa na kila mwenye akili.
Kiukweli ni kijana niliemjua kwa muda mchache wa mwaka mmoja, na pia alikuwa rafiki yangu na alikuwa kijana aliefanya siasa zake vizuri ila sijui ni nini kimemkuta mpaka sasa sijapata majibu , ulale mahali pema peponi jamaa yangu ,,,emmanuel mlelwa ,,,anyway ngoja tuhudhurie mazishi tupate kupoa
 
Nimepokea taaria muda huu kuwa mwenyekiti wa UVCCM tawi la vyuo vikuu mkoa wa Iringa ameuawa kwa sababu za kisiasa. Bado taarifa kamili hazijatolewa ila za awali ni kuwa ameuawa baada ya kuvamia mkutano usiomuhusu!
 
Back
Top Bottom