Mwenyekiti wa Simba SC Murtaza Mangungu acha 'Kujishtukia' na 'Kujihami' tunakujua Wewe ndiyo 'Kirusi' Kikuu ndani ya Klabu yetu

Mwenyekiti wa Simba SC Murtaza Mangungu acha 'Kujishtukia' na 'Kujihami' tunakujua Wewe ndiyo 'Kirusi' Kikuu ndani ya Klabu yetu

Kila Siku unahubiri Kunichukia na Kunitukana utakavyo ila nakushangaa huachi ama Kusoma posts zangu au Threads zangu hapa Jamiiforums. Hivi huwa ninakuita?

Hata ufanyeje huniwezi na huwezi pia Kushusha Umaarufu wangu wa Kutukuka hapa Jamvini.

Nasubiri urudi tena Kunishobokea ili niseme cha Aibu na Kibaya alichofanyiwa Mkeo anayekudharau Kutwa na Dereva Bodaboda ukidhani na Kujidanganya kuwa sikujui Kiuhalisia wakati hapa Nakuchora, Nakusanifu halafu nilishakudharau Kitambo sana tu.
Wewe jobless kula kulala unadhani Mimi ni kula kulala kama wewe? Kwamba nashinda JF?

Haya nimerudi Sasa ndio Niko free niambie hapo Bunda Mimi naishi wapi?
 
GENTAMYCINE sijawahi na kamwe sitokuja Kukosea. Nina uhakika na nilichokisema na hakuna mahala nimemlazimisha Mtu Kuamini nilichokiandika ila kwa Kujiamini kabisa na 100% huo ( huu ) ndiyo Ukweli na Uhalisia juu ya Mwenyekiti wa Wanachama Simba SC Murtaza Mangungu.
Hivi wewe APR huioni? Si ukomae na timu za kwenu?
 
GENTAMYCINE naelewa jitihada zako na mapenzi yako juu ya simba.

Umekua loyal fan kwa klabu hii miaka nenda rudi na wakati mwengine hua unatoa hela zako na kuchezea uhai wako kuhakikisha kua Simba sports club inapata matokeo nje na ndani ya uwanja.

Sasa ndugu GENTAMYCINE nafikiri ungerudisha kumbukumbu zako nyuma kwa Mh.Murtaza Mangungu kwa kipindi kile Simba ipo chini ya Friends of Simba kabla ya MO kuichukua team rasmi.

Murtaza Mangungu alishirikiana na poti wako kutoka Mara bwana Magori ili kuhakikisha kua wanauvuna alama nyingi huko mikoani,japokua kipindi kile walishindwa kwasababu mlikua na mtu msaliti ambaye alikua anakula hela za Manji.

Si hivyo tu,Mangungu amefanya mengi sana simba sports club na kuhakikisha anaipigania club.

Hizi unazofanya huenda ni siasa kulekea kwenye uchaguzi ila Mangungu akiliona hili andiko lako ataumia sana na moyo wake utavunjika maana hata na yeye mwenyewe hapendi kufungwa na Yanga.

Pia suala la kufungwa na Yanga nafikiri ni vile tu yanga wameshaweka standards,Maana wamesajili vizuri,kambi nzuri na mishahara kwa wakati.
 
Huna lolote unlolijua kuhusu mwenyekiti zaidi ya kutumiwa kumhujumu
 
nakuwa sheikh yahya kwa muda.
natabiri kuna mtu atakula ban kwa kupitia uzi huu au uzi wenyewe unaweza ukafutwa au vyote viwili vinaweza kutokea kwa pamoja.

lisipotokea jambo lolote kati ya niliyotabiri, mje mnipige mawe, nimekaa paleeee.
 
nakuwa sheikh yahya kwa muda.
natabiri kuna mtu atakula ban kwa kupitia uzi huu au uzi wenyewe unaweza ukafutwa au vyote viwili vinaweza kutokea kwa pamoja.

lisipotokea jambo lolote kati ya niliyotabiri, mje mnipige mawe, nimekaa paleeee.
Wewe unahisi atakuwa ni nani?
 
nakuwa sheikh yahya kwa muda.
natabiri kuna mtu atakula ban kwa kupitia uzi huu au uzi wenyewe unaweza ukafutwa au vyote viwili vinaweza kutokea kwa pamoja.

lisipotokea jambo lolote kati ya niliyotabiri, mje mnipige mawe, nimekaa paleeee.
Hujaanza / Hamjaanza leo Kunichukia na hata Kufurahia BAN zangu hapa JamiiForums Mnafiki mkubwa Wewe na Wanafiki wakubwa nyie.

Endeleeni kuombea hizo BAN zangu.

Cc: Plan Master
 
Back
Top Bottom