HIMARS
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 70,791
- 98,334
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwenyekiti wa Uvccm Taifa Heri James amewalaumu vijana wa CCM Tanzania kuwaacha wanasiasa wa upinzani Zitto Kabwe na Freeman Mbowe wakitembea mitaani bila kubughudhiwa/kushambuliwa kwa madai kuwa wanataka kulipasua taifa kwa vitendo vyao vya kuhujumu Serikali na Taifa
Naye Mwenyekiti wa UVCCM mkoa wa Iringa, Kenani Kihongosi amesema wapinzani wanaoichafua Serikali wanapaswa kukosolewa au Kuuawa kabisa.
Hivi uchochezi maana yake nini?Kuna mjinga mmoja alisikika akisema sheria awamu hii sio msumeno!
Siku hizi sheria ni chaini za kupigana kwenye Kung fuuSiku hizi sheria ni shoka, unakata unainua
Chama chochote kinapoelekea kufa huja na hoja kama hizi .Mwenyekiti wa Uvccm Taifa Heri James amewalaumu vijana wa CCM Tanzania kuwaacha wanasiasa wa upinzani Zitto Kabwe na Freeman Mbowe wakitembea mitaani bila kubughudhiwa/kushambuliwa kwa madai kuwa wanataka kulipasua taifa kwa vitendo vyao vya kuhujumu Serikali na Taifa
Naye Mwenyekiti wa UVCCM mkoa wa Iringa, Kenani Kihongosi amesema wapinzani wanaoichafua Serikali wanapaswa kukosolewa au Kuuawa kabisa.
Pompeo anazidi kukusanya ushahidi tu. Mungu mbariki PompeoMwenyekiti wa Uvccm Taifa Heri James amewalaumu vijana wa CCM Tanzania kuwaacha wanasiasa wa upinzani Zitto Kabwe na Freeman Mbowe wakitembea mitaani bila kubughudhiwa/kushambuliwa kwa madai kuwa wanataka kulipasua taifa kwa vitendo vyao vya kuhujumu Serikali na Taifa
Naye Mwenyekiti wa UVCCM mkoa wa Iringa, Kenani Kihongosi amesema wapinzani wanaoichafua Serikali wanapaswa kukosolewa au Kuuawa kabisa.
Hao UV ccm wawaambie wafuasi wao huku mtaani wawashambulie vijana waliopo upinzani nadhani si zaidi ya wiki watu wote huku kitaa watakuwa upinzaniKama vp walianzishe basi tuone nani ataibuka mshindi. Hao uvccm kwanini wanaongea tu waanzishe mapambano.
Wanasoma lakini hawapewi maarifa, unajiuliza ina maana hata elimu ya uraia hawakupata? sasa wako vyuoni hiyo development studies hawajasoma kwamba huwa kuna conflict of ideas? ni mambo ya kushangaza kweli. Ndo maana waajiri wengi wanalalmikia quality ya wanaomaliza vyuo. Kwenye makaratasi wamefaulu kwenye practical zero.Hii nchi imefikia hatua ya kutisha ya kuogofya. Siku hizi matamko yanatolewa hadharani ya kuuwa?. Halafu wanaangaliwa tu wahubiri utumbo?. Tumefika mbali sana,tumerudi nyuma enzi za ukoloni. Hawa wanaotoa haya matamko wasipodhibitiwa wataiachia hii nchi maumivu makubwa. Pamoja na kwamba wana dola lakini hawana uwezo wa kuwadhibiti umma yakiibuka machafuko ya wenyewe kwa wenyewe. Wanafikiri wanasaidia kumbe ndio wanachochea petrol kwenye jumuiya ya kimataifa. Halafu bahati mbaya ndio vijana wanaoitwa wasomi. Hii ni hatari kabisa
Sent using Jamii Forums mobile app