Bana likasi
JF-Expert Member
- Jan 7, 2020
- 6,926
- 6,422
Huyu mtoto wa dada aliyechaguliwa kwa maagizo badala ya nguvu ya ushindani unategemea azipate wapi.Hivi huyo heri James huwa anahusisha ubongo wake kweli kwenye kufikiri maana anazungumza kama interahamwe
Hii Jamii kiujumla ni wazuri kwenye matumizi ya nguvu kuliko akili ni makosa kuwapa leseni.