jamani imetosha ndugu zangu tujilinde kwa namna yoyote ile ikishindakana tusakane mtaani mambo gani haya? nimempa mtu kazi ya kuandika subtitles hizi video mbili
nawaombeni kama mnazo nyingine za uchochezi kutoka ccm mnipe link nafanya archives nampa mtu aziweke katika english na germany kuna sehemu zinatakiwa zitumwe ASAP kwenye tv stations za nje,blogs na newspapers na human rights organisations na donors pia.
na ile ya kuhusu wakurugenzi nawapa hela na magari mnatangaza wapinzani pia itakuwepo nikumbushe na nyinginezo jameni mnipe links