Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 2,060
- 5,648
Atafukuzwa soon kwenye hiko cheo.Mwenyekiti Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi Mohammed Ali Kawaida (MCC) amesisitiza jeshi la polisi kuwa wafanye uchunguzi kufuatia vitendo vya mauaji na utekaji na pale wanapopata taarifa watoe kwa jamii ili wajue kinachoendelea.
Mwenyekiti ameyasema hayo tarehe 04 desemba 2024 akitoa salamu za rambirambi kwenye ibada fupi ya kumuaga aliyekuwa Mwenyekiti wa UVCCM tawi la Machinjioni wilaya ya Chunya - Mbeya ambaye aliuawa usiku wa kuamkia tarehe 03 desemba 2024.
View attachment 3171964
Unanikumbusha kuhusu aliyesema wanaotekwa wanajiteka na kujitekenya, a.k.a thamthilia za kihindi ambapo muhusika mkuu anakufa halafu ana fufuka mwishoni eti dramaAtafukuzwa soon kwenye hiko cheo.
Anaujua ukweli na sasa anakaribia kuumwaga mtama kwenye kuku na majogoo wengi
Aliondoka nacho NchimbiHiki cheo siku hizi kinaushawishi kweli?
Katumwa Ku Neutralize hali ya hewa sio kwamba ana manishaMwenyekiti Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi Mohammed Ali Kawaida (MCC) amesisitiza jeshi la polisi kuwa wafanye uchunguzi kufuatia vitendo vya mauaji na utekaji na pale wanapopata taarifa watoe kwa jamii ili wajue kinachoendelea.
Mwenyekiti ameyasema hayo tarehe 04 desemba 2024 akitoa salamu za rambirambi kwenye ibada fupi ya kumuaga aliyekuwa Mwenyekiti wa UVCCM tawi la Machinjioni wilaya ya Chunya - Mbeya ambaye aliuawa usiku wa kuamkia tarehe 03 desemba 2024.
View attachment 3171964
Huko Mbali waende TemekeWaanze na waliotaka kumteka Tarimo na wale Vipenyo wa TRA tegeta hao ndiyo WATEKAJI.
Akamatwe kwa mauaji yeye mwenyewe kwanzaMwenyekiti Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi Mohammed Ali Kawaida (MCC) amesisitiza jeshi la polisi kuwa wafanye uchunguzi kufuatia vitendo vya mauaji na utekaji na pale wanapopata taarifa watoe kwa jamii ili wajue kinachoendelea.
Mwenyekiti ameyasema hayo tarehe 04 desemba 2024 akitoa salamu za rambirambi kwenye ibada fupi ya kumuaga aliyekuwa Mwenyekiti wa UVCCM tawi la Machinjioni wilaya ya Chunya - Mbeya ambaye aliuawa usiku wa kuamkia tarehe 03 desemba 2024.
View attachment 3171964
Yeye ndiyo kiongozi wa matekajiKatumwa Ku Neutralize hali ya hewa sio kwamba ana manisha
Kalaghabahoo
Nakataa.mwenye akili tambuzi duniani ni mtoto wanguElon Musk kasema mtoto wake ndiye kijana pekee mwenye Akili tambuzi duniani, ana miaka 5 😂
Anapingana na mkubwa wake?Mwenyekiti Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi Mohammed Ali Kawaida (MCC) amesisitiza jeshi la polisi kuwa wafanye uchunguzi kufuatia vitendo vya mauaji na utekaji na pale wanapopata taarifa watoe kwa jamii ili wajue kinachoendelea.
Mwenyekiti ameyasema hayo tarehe 04 desemba 2024 akitoa salamu za rambirambi kwenye ibada fupi ya kumuaga aliyekuwa Mwenyekiti wa UVCCM tawi la Machinjioni wilaya ya Chunya - Mbeya ambaye aliuawa usiku wa kuamkia tarehe 03 desemba 2024.
View attachment 3171964
Kumbe kila mtu atakufa? Nilikuwa sijui nilidhani nitaishi milele tena kwa furaha muda wowoteYeye ndiyo kiongozi wa matekaji
Unataka uishi milele ili ugundue nini?Kumbe kila mtu atakufa? Nilikuwa sijui nilidhani nitaishi milele tena kwa furaha muda wowote
Niwagundue watekaji ambao hawatakiwi wajulikaneUnataka uishi milele ili ugundue nini?