Pre GE2025 Mwenyekiti wa UVCCM Taifa, Mohammed Kawaida: Uchunguzi ufanyike kufuatia vitendo vya utekaji na mauaji

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Mwenyekiti Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi Mohammed Ali Kawaida (MCC) amesisitiza jeshi la polisi kuwa wafanye uchunguzi kufuatia vitendo vya mauaji na utekaji na pale wanapopata taarifa watoe kwa jamii ili wajue kinachoendelea.

Mwenyekiti ameyasema hayo tarehe 04 desemba 2024 akitoa salamu za rambirambi kwenye ibada fupi ya kumuaga aliyekuwa Mwenyekiti wa UVCCM tawi la Machinjioni wilaya ya Chunya - Mbeya ambaye aliuawa usiku wa kuamkia tarehe 03 desemba 2024.
Your browser is not able to display this video.
 
Atafukuzwa soon kwenye hiko cheo.

Anaujua ukweli na sasa anakaribia kuumwaga mtama kwenye kuku na majogoo wengi
 
Katumwa Ku Neutralize hali ya hewa sio kwamba ana manisha

Kalaghabahoo
 
Akamatwe kwa mauaji yeye mwenyewe kwanza
 
Anapingana na mkubwa wake?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…