Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Ni UVCCMNiwagundue watekaji ambao hawatakiwi wajulikane
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni UVCCMNiwagundue watekaji ambao hawatakiwi wajulikane
Bado asubiri, kifo ni kifo Tu Kwanza HAKUNA utekaji, ni drama Tu. NyokooooMwenyekiti Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi Mohammed Ali Kawaida (MCC) amesisitiza jeshi la polisi kuwa wafanye uchunguzi kufuatia vitendo vya mauaji na utekaji na pale wanapopata taarifa watoe kwa jamii ili wajue kinachoendelea.
Mwenyekiti ameyasema hayo tarehe 04 desemba 2024 akitoa salamu za rambirambi kwenye ibada fupi ya kumuaga aliyekuwa Mwenyekiti wa UVCCM tawi la Machinjioni wilaya ya Chunya - Mbeya ambaye aliuawa usiku wa kuamkia tarehe 03 desemba 2024.
View attachment 3171964
Mungu ni mjuzi atatuongoza namna nzuri ya kukabliana nao, binadamu ana akili sana lakini binadamu huyo huyo ni mvivu wa kufikiri,Ni UVCCM
Kumbe ni kweli asiyekupenda una achana naye,.ila akikuteka jeWatekaji ni CCM na wauaji ni CCM
Sisi siyo binadamu ni nyani wa mjini acha kujidanganya, una ardhi safi, mifugo, madini ya kila aina, gesi, mito, bahari, makaa ya mawe, Milima, tanzanite, mbuga za wanyama, maziwa, mabawa makubwa + watu 63M lakini unazidiwa maendeleo na nchi ndogo ndogo kila siku unaenda kuomba misaada wewe siyo kama umelaaniwa basi ni nyani wa mjini.Mungu ni mjuzi atatuongoza namna nzuri ya kukabliana nao, binadamu ana akili sana lakini binadamu huyo huyo ni mvivu wa kufikiri,
Binadamu akipata changamoto huamsha ubongo kukabiliana na changamoto ama tatizo kumbe anapofanya hivyo huja na uvumbuzi
We acha tu, kwasasa akili kwenye mafuvu zilisha ondoshwa na CCm, kitambo tuna tumia vitu ambavyo hatuvizalishi hapa nilipo nimevaa kuanzia chini vyote toka china hata hii simu toka china, hata kufikiri kichina kwa maana hata hizi software za kutengenezea simu zao na tools wanazitengeneza wao na kutuuziaSisi siyo binadamu ni nyani wa mjini acha kujidanganya, una ardhi safi, mifugo, madini ya kila aina, gesi, mito, bahari, makaa ya mawe, Milima, tanzanite, mbuga za wanyama, maziwa, mabawa makubwa + watu 63M lakini unazidiwa maendeleo na nchi ndogo ndogo kila siku unaenda kuomba misaada wewe siyo kama umelaaniwa basi ni nyani wa mjini.
Halafu bado unajiita ni binadamu? wewe ni nyani wa mjiniWe acha tu, kwasasa akili kwenye mafuvu zilisha ondoshwa na CCm, kitambo tuna tumia vitu ambavyo hatuvizalishi hapa nilipo nimevaa kuanzia chini vyote toka china hata hii simu toka china, hata kufikiri kichina kwa maana hata hizi software za kutengenezea simu zao na tools wanazitengeneza wao na kutuuzia
We consume what we do not produce
Hata bandari nasika wamekuja wazungu kuziendesha daaa, kweli mimi nyani wa mjini, yaani tunapgwa mchana kweupe peee!Halafu bado unajiita ni binadamu? wewe ni nyani wa mjini
Waarabu jomba siyo wazunguHata bandari nasika wamekuja wazungu kuziendesha daaa, kweli mimi nyani wa mjini, yaani tunaoigwa mchana kweupe peee!
Ahaa kumbe jombaaa,(mama), mjomba kwetu ndiyo mama, ila kumfurusha jombaa akijinyea harufu itakuwa mbaya sanaWaarabu jomba siyo wazungu
Watekaji wamo huko huko alipo.Yule kijana wa Kagera anayo maelezo ya kina,aliwaambia Polisi wasiwatafute watekaji.Ameulizwa?Mwenyekiti Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi Mohammed Ali Kawaida (MCC) amesisitiza jeshi la polisi kuwa wafanye uchunguzi kufuatia vitendo vya mauaji na utekaji na pale wanapopata taarifa watoe kwa jamii ili wajue kinachoendelea.
Mwenyekiti ameyasema hayo tarehe 04 desemba 2024 akitoa salamu za rambirambi kwenye ibada fupi ya kumuaga aliyekuwa Mwenyekiti wa UVCCM tawi la Machinjioni wilaya ya Chunya - Mbeya ambaye aliuawa usiku wa kuamkia tarehe 03 desemba 2024.
View attachment 3171964
Kaa kwa password watu wapige pesaAhaa kumbe jombaaa,(mama), mjomba kwetu ndiyo mama
Siku zote hakuna hata mmoja akiyewahi kuona hilo ni shida imekuwaje kwake?Atafukuzwa soon kwenye hiko cheo.
Anaujua ukweli na sasa anakaribia kuumwaga mtama kwenye kuku na majogoo wengi
Leo ndo ameona kuna utekaji na mauaji? Ya mzee kibao hakuwahi kuyasikia, Ya kina Soka hakuwahi kuyasikia?ameyasema hayo tarehe 04 desemba 2024 akitoa salamu za rambirambi kwenye ibada fupi ya kumuaga aliyekuwa Mwenyekiti wa UVCCM tawi la Machinjioni wilaya ya Chunya - Mbeya
Wameanza kuuana sasaSiku zote hakuna hata mmoja akiyewahi kuona hilo ni shida imekuwaje kwake?
Wengine sii binadamu ila wao binadamu naona kampeni nyingi ya kutaka urafiki wa kinaa zinaratibiwa na wanao ogopa bakora za Mzee mtetezi wa taifa.Wameanza kuuana sasa
Hofu imemjaa
Ulitarajia vijana wa ccm wawe na akili timamu ? Na uwezo Bora wa kufikiri? Akina kigoda, mwapachu, Sykes, hao ndio walikua na akili hawa x ana miaka mitano Tu lakini Yuko kwenye bodi ya washauri wa Elon ambae ni Baba yake na anategemewa Sana kwenye mambo ya kiubunifu ashauri niniElon Musk kasema mtoto wake ndiye kijana pekee mwenye Akili tambuzi duniani, ana miaka 5 😂
Je, kuhusu kuifungia X yaani Twitter iliishia wapi?Mwenyekiti Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi Mohammed Ali Kawaida (MCC) amesisitiza jeshi la polisi kuwa wafanye uchunguzi kufuatia vitendo vya mauaji na utekaji na pale wanapopata taarifa watoe kwa jamii ili wajue kinachoendelea.
Mwenyekiti ameyasema hayo tarehe 04 desemba 2024 akitoa salamu za rambirambi kwenye ibada fupi ya kumuaga aliyekuwa Mwenyekiti wa UVCCM tawi la Machinjioni wilaya ya Chunya - Mbeya ambaye aliuawa usiku wa kuamkia tarehe 03 desemba 2024.
View attachment 3171964