Hamtapumua bali njaa inabisha hodi na Timu itakuwa ndembendembe.Nina furaha sana Huyu jamaa kuondoka hapo yanga katunyanyasa saba na pesa zake na yeye ndio alikuwa mchawi wetu Nina imani sasa tutapumua
Ni nani huyo wa 65bil Mkuu?Whatever the case, Yanga itasonga mbele. Kama ni kweli yule mtu wa 65 billion ajitojeze mapema.
Hakuna mtu wa kuweka hizo pesa yanga, kutokana na kusheheni watu wenye midomo, wajuaji, madalali wa migogoro nk,Whatever the case, Yanga itasonga mbele. Kama ni kweli yule mtu wa 65 billion ajitojeze mapema.
Atajitokeza tu. Ni suala la muda tu.Hakuna mtu wa kuweka hizo pesa yanga, kutokana na kusheheni watu wenye mikono, wahauri, madalali wa migogoro nk,
Yanga kuna watu wanaishi wa Fitna na majungu wao hujipatia pesa kupitia uchonganishi na migogoro na kipindi yanga ikiwa na Amani walishinda njaa, sasa kutwa wanaheng'i kila kona kutafuta watu wa kuwapiga pesa kisha wanaenda upande wa pili Kuchukua pesa.Ni jambo la ajabu maamuzi ya wengi yanaonekana eti hawana akili wamekurupuka kuliko mzee na wenzie walieshindwa kufanya chochote ndani ya Yanga kwa wakati wote waliokuwepo pale zaidi ya kuganga njaa na wengine kushindwa kutia chochote, lakini mzee ni mnafiki sana sijui safari hii hajapewa chochote maana ndio huwa mtetezi mkuu leo kageuka kawa Yuda kwa Mwenyekiti, wazee wa nana hii ni hatari sana kwa jamii.
aje msimbazi tuHuyo Chirwa wahesabu wamepata hasara.!
Ni kweli mkuu maana magufuli ni Simba hawezi kuitakia yanga mazuri pasipo mwanachama wa CCM manji kuwemo ndaniYanga ileeee shimon lazima mshike mkia safar hii mmeshazoea
Sasa nani atamlipa mshahara Obrey Chirwa, mchezaji ghali kuliko wote katika VPL aliyesajiliwa kwa gharama ya 200M? Hapo lazima watu wachanganyikiwe, hasa wanaosalia madarakani. Naamini wengi kama sio wote watakimbia nafasi zao
Du! Hizi tuhuma zako ni mbichi ksbisa mkuu. Hebu tufafanulie kidogo.Kuna madalali wa fitna za soka wanashinda kwa Mengi kuchukua pesa kisha kuleta chokochoko kwa kumtukana manji ili akimbie mengi achukue Timu, lakini huyo mengi anapaswa kujua methali hii ( ukiona mwenzio ananyolewa ww tia maji
Lazima asepe hawezi kukaa kwenye migogoroNa Jerry Muro itakuwaje sasa?
Na udiwani aachie arudi kwao Indiataarifa hizi ni za kweli fitna imeanza jangwani ikiongozwa na akilimali
Kuna wajanja wamebuni mbinu za kula pesa wakaenda kwa Manji kumdanganya kuwa Mengi anataka Timu na manji amepagawa kuna ujanja unafanywa na madalali wa soka la maji taka.Du! Hizi tuhuma zako ni mbichi ksbisa mkuu. Hebu tufafanulie kidogo.
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]Hili linyonyaji linalojiita mulinzi ndo linaharibu soka hapa nchini. Wizi, rushwa, upangaji wa matokeo, ufisadi na matakataka mengine yote kwake ni marashi. Hovyo kabisa hili dudumizi.
Duh.. Mkulu ni mnyama..!?Ni kweli mkuu maana magufuli ni Simba hawezi kuitakia yanga mazuri pasipo mwanachama wa CCM manji kuwemo ndani