Mwenyekiti wa Yanga, Yusuf Manji ameamua kujiuzulu nafasi yake

Kama mpango wa kuikodi Yanga ungefanikiwa kingekuwa ni kipimo cha "UJINGA WETU".
 
Hizo nasikia nasikia Joh Makini anasemaga DON'T BOTHER.
 
Mbona povu jingi mkuu manji alikua anakulipia ada wanao nini?
 
Hivi haya mazee dzaini ya Akilimali yanafaida gani ktk maendeleleo ya soka letu!?
 

Hahaha kwamba walikuwa wanabebeshwa mizigo au
 
Kama Reginald Mengi anafikiri anachukua Yanga anajidanganya...!! Ashindwe..!! Kazi fitina, chuki, majungu tupu... Kwanza safi kabisaa Manji waachie litimu lao.. siku mbaya sana kwangu hii...

Nenda ukaolewe na Manji
 
Nasikia anataka kununua hisa asilimia 49 za Simba Yanga haitaki Tena
 
Yaani nyie badala ya kukaa kujiuliza ni lini mtalipa lile deni letu tulipowatandika sita mtungi, bado mnawayawaya wala hamjui njia ya kupita!!


Kuna Tofauti sana kati ya Yanga na Simba.

Wakati bao 5 zimekupa point 3 bila ubingwa.
Yeye mabao 4 zimempa point 6 na Ubingwa.

Mnasafari ndefu sana kutafuta la Kujivunia mbele ya Yanga!
 
Wakati umewadia wa kuwafunga tena zile goli 5
Muweke wazi Malengo yenu kwenye Ligi uli kila mtu ayajue.

Je lengo ni Ubingwa au kumfunga Yanga?

Msilenge sana kumfunga Yanga mkawasahau akina Toto Africans, Ndanda FC Azam na wengineo.... mtakuwa mnatwanga maji kukinu.

Tukumbuke kuwa mara nyingi mwanzoni mwa ligi huwa mnawaza Ubingwa ila baada ya muda mnawaza kumfunga Yanga..... Mkirudi kufikiria Ubingwa mnakuta Yanga amewaacha points 9...mnabaki kusema Yanga wananunua mechi na TFF wanaibeba Yanga.

Kuweni makini... [emoji23]
 

Ukweli kuntu,umepiga kwenye chembe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…