Mwenyekiti Wafanyabiashara Kariakoo Aomba Msaada Kuwakamata Waliofunga Maduka

Mwenyekiti Wafanyabiashara Kariakoo Aomba Msaada Kuwakamata Waliofunga Maduka

Amesema shida ni kikundi cha watu wachache wanaoonekana kuwa na manufaa na mgomo huo huku akieleza kuwa ameomba msaada kwa vyombo vya usalama kuwachukulia hatua na kusema yupo tayari kutoa ushirikiano.

Chanzo: Mwananchi
Mwisho wa kunukuu
 
F
Solution nyingine kuanzisha soko jipya free zone ili makato yote yafanyike pale mpaka VAT na mzigo mwisho wa mwaka kama haujauzwa basi mfanya biashara anaweza ku claim VAT na wafanya biashara wa nje wakivuka mpakanani wanaonesha mzigo na VAT wanarudishiwa aliyeuza mzigo kwa maana duka la free zone. Ni kama mafuta tu ya ya transit yana taratibu zingine na ya ndani zingine japo kuna watu walikuwa wanapiga mzigo wa Transit lakini hilo linazuilika tu kuweka seal na number basi ziko njia nyingi inahitaji kuumiza kichwa na kumaliza mianya ya rushwa na kama Kariakoo litafanywa free zone pia linawezekana ni kujipanga ili mwisho wa siku mfanya biashara awe mkubwa biashara ikue na serikali ipate na ni faida kwa serikali kila wafanya biashara wakipata zaidi na serikali inapata zaidi.
Fafanua kwa urahisi ndugu
 
Sasa kama siyo mkiti wao wa kwao yu wapi? Mbona kikao na RC, WAZIRI MKUU yeye ndio yuko kiongozi? Pelekeni basi huyo kiogozi wenu jasiri. Huyo wenu si kiongozi huyo wenu ni nusanusa kupata habari za ndani wslio nyuma ya jambo hili.
Umefuatilia mtiririko wa chatting hapo juu ?au UMEKUJA KUNILETEA UHARO WAKO HAPA.......

Baba angu mkubwa Aliwai niambia.........
"LITTLE EDUCATION IS VERY DANGEROUS"

jifunze kusoma maoni ya watu Kwa utulivu naku Brainstorming 🧠 kabla ya kupost.
 
Back
Top Bottom