GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
- Thread starter
-
- #21
Siku zote umekuwa mkweli. Koleo unaliita koleo wala si kijiko kikubwa. Hongera sana kwa hilo.
Ukiona sehemu mbunge wa upinzan kashinda afu kura za urais zimeenda kwa CCM jua tushaibiwaMagufuli anachofanya sio sahihi alitakiwa ajiulize kwanini wabunge wa chama chake hawachaguliwi na sio kulazimisha wachaguliwe.
Kila mtu ana uhuru na sababu kwanini amefanya maamuzi ya kuchagua kiongozi fulani.
Kama serikali ilinifanyia dhuruma kwanini niichague au kama imeleta kiongozi mbovu kwanini nichague lakini kitendo chake cha kukataa kuleta maendeleo kisa wamechaguliwa upinzani mbona kodi zao anachukua
Kwani huyo Kapuya, si ndiye alimnajisi house girl wake?
Kwa hiyo Meko anamuona Kapuya mtakatifu sana hata amshawishi kujenga barabara huko unyamwezini?
Wapinzani hawataki maendeleo ya vitu sasa asingekuwepo Kapuya mbunge wa CCM mdai maendeleo ya barabara hiyo barabara isingejengwa.Kasome sera ya Chadema hawana mpango na maendeleo ya vitu ina maana ukichagua mbunge wa Chadema sabau maendeleo ya vitu sababu hatayatafuta sera yake hairuhusu"Leo tutakubaliana?, kwa sababu siku nyingine huwa nawaeleza halafu hamfuati,niliwaambia mnichague mimi mkasema sawa, nikawaambia mnichagulie na mbunge wa CCM hamkunichagulia,nataka niwaeleze ukweli wala siwafichi asingekuwa Kapuya hii barabara nisingeijenga...mambo ndivyo yanavyokwenda hivyo".Dkt.Magufuli
ITV Tanzania / Nipashe
Hivi nyie mlio karibu nae akina Dkt. Bashiru Ali na Mzee Philip Mangula kwanini msishauri aachane na Kauli za 'Kibabe' kama hizi? Tunachoka sasa!!
Hapo hakuna ubabe .Ni woga wenu tu.
Mkiwachagua hao wengine hawaweza kuendeleza miradi niliyoianzisha-Magufuli.
Apige picha akifa leo hakuna atakae we za kuingoza nchi? Hizi ni kauli za hovyo kutolewa na kiongozi. Hi
Wapinzani hawataki maendeleo ya vitu sasa asingekuwepo Kapuya mbunge wa CCM mdai maendeleo ya barabara hiyo barabara isingejengwa.Kasome sera ya Chadema hawana mpango na maendeleo ya vitu ina maana ukichagua mbunge wa Chadema sabau maendeleo ya vitu sababu hatayatafuta sera yake hairuhusu
Wala Dr Magufuli hajakosea
Walipo wabunge wa Chadema apeleke maendeleo ya vitu ya nini? Kuchagua mbunge wa Chadema ni kuchagua sera kuwa watu wa eneo hilo hawataki maendeleo ya vitu sasa kama hawataki unawalazimisha kuwapelekea?
Kwa akili yako tukizungumzia washauri wa rais hao kina Bashiru wanaweza kuwamo?"Leo tutakubaliana?, kwa sababu siku nyingine huwa nawaeleza halafu hamfuati,niliwaambia mnichague mimi mkasema sawa, nikawaambia mnichagulie na mbunge wa CCM hamkunichagulia,nataka niwaeleze ukweli wala siwafichi asingekuwa Kapuya hii barabara nisingeijenga...mambo ndivyo yanavyokwenda hivyo".Dkt.Magufuli
ITV Tanzania / Nipashe
Hivi nyie mlio karibu nae akina Dkt. Bashiru Ali na Mzee Philip Mangula kwanini msishauri aachane na Kauli za 'Kibabe' kama hizi? Tunachoka sasa!!
Kwanza ata kura zake utata mtupu
Ana kiburi hawezi kukubali kusaidiwa!Mimi ni mwana CCM na namkubali sana Rais JPM na pia nakiheshimu mno Chama cha CHADEMA ila Mwenyekiti wangu Magufuli asaidiwe upesi tu.
Mburura tu ndio wanaweza chagua mtu huyu."Leo tutakubaliana?, kwa sababu siku nyingine huwa nawaeleza halafu hamfuati,niliwaambia mnichague mimi mkasema sawa, nikawaambia mnichagulie na mbunge wa CCM hamkunichagulia,nataka niwaeleze ukweli wala siwafichi asingekuwa Kapuya hii barabara nisingeijenga...mambo ndivyo yanavyokwenda hivyo".Dkt.Magufuli
ITV Tanzania / Nipashe
Hivi nyie mlio karibu nae akina Dkt. Bashiru Ali na Mzee Philip Mangula kwanini msishauri aachane na Kauli za 'Kibabe' kama hizi? Tunachoka sasa!!
Inzi kafia kwenye kidonda ,kafa na tai shingoni ,yaani wewe umeamua kabisa kujilipua"Leo tutakubaliana?, kwa sababu siku nyingine huwa nawaeleza halafu hamfuati,niliwaambia mnichague mimi mkasema sawa, nikawaambia mnichagulie na mbunge wa CCM hamkunichagulia,nataka niwaeleze ukweli wala siwafichi asingekuwa Kapuya hii barabara nisingeijenga...mambo ndivyo yanavyokwenda hivyo".Dkt.Magufuli
ITV Tanzania / Nipashe
Hivi nyie mlio karibu nae akina Dkt. Bashiru Ali na Mzee Philip Mangula kwanini msishauri aachane na Kauli za 'Kibabe' kama hizi? Tunachoka sasa!!
Hilo ndondocha halishauriki"Leo tutakubaliana?, kwa sababu siku nyingine huwa nawaeleza halafu hamfuati,niliwaambia mnichague mimi mkasema sawa, nikawaambia mnichagulie na mbunge wa CCM hamkunichagulia,nataka niwaeleze ukweli wala siwafichi asingekuwa Kapuya hii barabara nisingeijenga...mambo ndivyo yanavyokwenda hivyo".Dkt.Magufuli
ITV Tanzania / Nipashe
Hivi nyie mlio karibu nae akina Dkt. Bashiru Ali na Mzee Philip Mangula kwanini msishauri aachane na Kauli za 'Kibabe' kama hizi? Tunachoka sasa!!
Chadema wapi wewe papai tu[emoji57]mimi ni chadema ila namkubali sana mzee magufuli.chama chetu wababaishaji sana
Tukuulize onyesha quality ya huyo unaemkubali against quality ya viongozi wa cdm wababaishaji,ukijibu hili swali nitajua rangi zako halisi vinginevyo wewe ni wale nzi wa kijani wanaotapatapa bila hojamimi ni chadema ila namkubali sana mzee magufuli.chama chetu wababaishaji sana
Ufanano wake na wewe ni kwenye matusi hapo ndipo mnaposhea nothing elseMimi ni mwana CCM na namkubali sana Rais JPM na pia nakiheshimu mno Chama cha CHADEMA ila Mwenyekiti wangu Magufuli asaidiwe upesi tu.
Mbaya zaidi akamuunganisha na grid ya taifa,watu mna kumbu2.Kwani huyo Kapuya, si ndiye alimnajisi house girl wake?
Kwa hiyo Meko anamuona Kapuya mtakatifu sana hata amshawishi kujenga barabara huko unyamwezini?
Nakufahamu vizuri, hujawahi kuwa CHADEMA. Au niweke details zako hapa na majina yako kamili?mimi ni chadema ila namkubali sana mzee magufuli.chama chetu wababaishaji sana